Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Hapana hata utendaji kata (WEO) wanaomba hata utumishi huwa wanazitangaza hiyo ya kuweka mtu tuu ilikuwa zamani sana! Siku hizi zinatangazwa kuanzia kijiji hadi Kata! Ukitembelea ajira portal unaweza ukazikuta

uthibitisho wa hoja yako kama kuna Akira za utendaji wa kata(WEO) zinazotangazwa

Hapana hata utendaji kata (WEO) wanaomba hata utumishi huwa wanazitangaza hiyo ya kuweka mtu tuu ilikuwa zamani sana! Siku hizi zinatangazwa kuanzia kijiji hadi Kata! Ukitembelea ajira portal unaweza ukazikuta …
Leta uthibitisho wa tangazo la utendaji wa kata(WEO), ukiwa unahangaika kupata hicho kitu ndo utagundua kumbe umekaa bila taarifa za maana Kwa muda mrefu.
 
😀😀😀 unazingua ww tangu lini mtendaji kata anateuliwa?
Au unaongelea madiwani viti maalumu?
Kuteuliwa ni wakuu wa wilaya,wakurugenzi,DAS,na ngazi zingine za juu
Mtendaji kata nafasi utangazwa watu wanaomba au anapandishwa cheo mtendaji wa mtaa kama ana sifa na vige

😀😀😀 unazingua ww tangu lini mtendaji kata anateuliwa?
Au unaongelea madiwani viti maalumu?
Kuteuliwa ni wakuu wa wilaya,wakurugenzi,DAS,na ngazi zingine za juu
Mtendaji kata nafasi utangazwa watu wanaomba au anapandishwa cheo mtendaji wa mtaa kama ana sifa na vigezo
Ziko namna nyingi za kuwapata watendaji wa kata kama ulivyoeleza, lakini si Kwa namna ya kutangazwa na kuomba kama ajira zingine. Nioneshe tangazo la ajira za watendaji wa kata(WEO) Kwa miaka mitatu ya hivi karibuni mimi ntakuonesha bus lenye matairi mawili.
 
Ikiwa majina ya kwenye NIDA yanatofautiana na yaliyopo katika vyeti vya Form four na six pamoja na birth certificate.

Je kwakutumia Affidavit ntaweza kuomba na kuitwa katika usaili na mwisho kulamba Asali.

Hili swali nauliza Mimi mwenyewe DR HAYA LAND na sio mdogo wangu
 
Ziko namna nyingi za kuwapata watendaji wa kata kama ulivyoeleza, lakini si Kwa namna ya kutangazwa na kuomba kama ajira zingine. Nioneshe tangazo la ajira za watendaji wa kata(WEO) Kwa miaka mitatu ya hivi karibuni mimi ntakuonesha bus lenye matairi mawili.
Acha ligi mkuu,hakuna mtendaji wa kata anayeteuliwa
 
Naomba kuuliza hili swali.

Mimi Nina changamoto namba ya NIDA Ina majina tofauti na yaliyopo katika vyeti vyangu vya taaluma Kama

Form four , form six na chuo .

Je nikitumia Affidavit katika kuomba hizi nafasi za ualimu ntaweza kuitwa katika usaili.

Hili swali linatoka kwa mdogo wangu naomba ufafanuzi kwa wazoefu wa Ajira portal.
 
Tofauti ya acedemic qualification na verification certificate ni ipi ?
 
Leta uthibitisho wa tangazo la utendaji wa kata(WEO), ukiwa unahangaika kupata hicho kitu ndo utagundua kumbe umekaa bila taarifa za maana Kwa muda mrefu.
Ajira za watendaji wa kata hazitangazwi kwa sasa kwa sababu wengi wa watendaji wa vijiji wanajiendeleza na kupandishwa kuwa watendaji wa kata, ndio maana kwa sasa uhaba hakuna, ila ni ajira kama ajira zingine.
 
Watendaji wa kata wanateuliwa, mfano Mimi nimehitimu chuo na nafafiki zangu kadhaa ambayo sasa ni watendaji wa kata. Nilisoma nao kozi moja, walipigiwa simu Kila mmoja kwa mda wake na tayari wapo kazini miaka zaidi ya 5. Kuhusu chama ( ---),
Kama haujasikia nafasi za kazi kwa watendaji wakata basi jua hilo.
 
Watendaji wa kata wanateuliwa, mfano Mimi nimehitimu chuo na nafafiki zangu kadhaa ambayo sasa ni watendaji wa kata. Nilisoma nao kozi moja, walipigiwa simu Kila mmoja kwa mda wake na tayari wapo kazini miaka zaidi ya 5. Kuhusu chama ( ---),
Kama haujasikia nafasi za kazi kwa watendaji wakata basi jua hilo.
Mtendaji wa kata sio cheo cha kuteuliwa isipokuwa mwaka 2019 kuna makada waliingizwa kwenye utumishi kama watendaji wa kata.
 
1722332673734.png

=
Huyu naona yuko vizuri.
 
Naomba kuuliza hili swali.

Mimi Nina changamoto namba ya NIDA Ina majina tofauti na yaliyopo katika vyeti vyangu vya taaluma Kama

Form four , form six na chuo .

Je nikitumia Affidavit katika kuomba hizi nafasi za ualimu ntaweza kuitwa katika usaili.

Hili swali linatoka kwa mdogo wangu naomba ufafanuzi kwa wazoefu wa Ajira portal.
Utofauti ukoje hujadadavua?
 
N
Mfano

Jakaya mrisho kikwete

Rizimoko msoga jakaya

Hivyo yaani mkuu
Nenda NIDA watarekebisha majina yafanane na ya kwenye vyeri vya shule pamoja na kuzaliwa

Tumia kwanza NIDA hiyo hiyo kusajiri akaunt na omba hizo nafasi kama kawaida
Ukiitwa kabla hujabadili majina ya nida yafanane na vyeti utaenda na kiapo cha mahakama kwenye usaili


Nimepitia hii kitu ila mm walikosea majina NIDA ila nikawa naenda kwenye usaili na kiapo cha mahakama baadae NIDA Nikabadili taarifa

N.B Kubadili taarifa NIDA namba ya NIDA inabkai hiyo hiyo wao wana edit majina tu kisha utapewa kitambulisho kingine chenye majina yanayofanan na vyeri vyako
Kuna form utaambiwa ujaze na kulipia elf 20
Maelezo yote utapewa ofisi ya NIDA iliyo karibu nawe
Karibu
 
Nimeattachi kimakosaa kwenye academic qualifications,sehemu ya cheti Cha chuo nimeweka Cha Form 6. Naediti vipii wazee
 
Back
Top Bottom