Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Habari Wakuu...samahani Kuna njia ya kuondoa watermark ya CamScanner baada ya kuscan vyeti??.
 
Duuu nimechoka kwa kweli hebu tusaidiane wenzangu kwangu nimeapply wakaniambia KON APPLICATION FAILED you can not apply for the job post CHECK REQUIRED BACHELOR DEGREE PROGRAM please read carefully and understand JOB POST QUALIFICATION REQUIREMENT before applying
Thank you degree program yangu ni Bachelor of education in adult and community education bed ace
 
Habari Wakuu...samahani Kuna njia ya kuondoa watermark ya CamScanner baada ya kuscan vyeti??.
Walimu mnashida jamani kwani watermark ina shida gani mbona watu tunaomba kazi kila siku na hiyo watermark nenda stationery
 
Wewe umefeli std7 kwa kujifanya muelewa sana wa kila kitu mwalimu sio robot la Al
Mkuu kuna vitu vipo simple sana inakuwaje unaelekezwa kitu kidogo unashindwa kuelewa.Huko kwenye usaili itakuwaje hasa oline interview si utafanya mpaka IT wa mfumo acheke aongeze siku.Kama ku appload picha unashindwa vipi? Kitu kidogo hivyo na kipo katika mfumo na kinaeleweka? Je huko vyuoni hamkuwa mnafanya assignments? Mlikuwa mnazifanya vipi au material na references mlizitoa wapi? Je computer na cozi za semista za TEHAMA hamkusoma? Walimu mnazingua kuna maswali mnauliza mpaka inafika mda unawaza huyu kapataje Degree yake na huko kwenye usaili si atatia aibu? Sawa kila la heri lakini kwa kuleta ajira hizi PSRS itafanya wapatikane walimu cream sahihi kabisa
 
Baada ya ku-upload picha, ondoa tiki kwenye kibox cha Lock Aspect Ration ili uandike 300 Width x 300 Height au vipimo vinavyotakiwa.
Mkuu inagoma tu, inarudi picha ileile. Huu mfumo naona umeamua kunikataa hata kabla sijaomba
 
Kuna demu Jana usiku SHE (Dada yangu) alikuwa hajui chochote kuhusu huu mfumo but kakomaa nao mpaka kajaza asilimia 98% then akaapply

Alichosema yeye njia rahisi ya huu mfumo ni kwenda nao step one to another usiruke step

Pia inaoneka mfumo wenyewe pia developer wapo kazini pia kufix matatizo ya mfumo
 
Mkuu kuna vitu vipo simple sana inakuwaje unaelekezwa kitu kidogo unashindwa kuelewa.Huko kwenye usaili itakuwaje hasa oline interview si utafanya mpaka IT wa mfumo acheke aongeze siku.Kama ku appload picha unashindwa vipi? Kitu kidogo hivyo na kipo katika mfumo na kinaeleweka? Je huko vyuoni hamkuwa mnafanya assignments? Mlikuwa mnazifanya vipi au material na references mlizitoa wapi? Je computer na cozi za semista za TEHAMA hamkusoma? Walimu mnazingua kuna maswali mnauliza mpaka inafika mda unawaza huyu kapataje Degree yake na huko kwenye usaili si atatia aibu? Sawa kila la heri lakini kwa kuleta ajira hizi PSRS itafanya wapatikane walimu cream sahihi kabisa
Punguza stress mkuu naona unatoa povu

Wapi nimesema siwezi ku upload photo? Au ujobless unakusumbua
 
Mkuu inagoma tu, inarudi picha ileile. Huu mfumo naona umeamua kunikataa hata kabla sijaomba
Fanya hivi.Picha iwe na background iliyoelekezwa na isiwe picha tu bali passport size,then iweke katika format waliyoelekeza baada ya hapo katika device yako sehemu ambayo ukiwa unaipakia uione kumbuka iwe katika size elekezi.Baada ya hapo nenda kwenye profile yako fungua sehemu ya picha click hiyo picha iliyopo then itakupeleka kule unapotaka kwenda chagua picha unayotaka kuipakia then subiri. NB picha isiwe katika mfumo wa PDF Itakataa.Ukishindwa na hapa subiri ajira zingine
 
Fanya hivi.Picha iwe na background iliyoelekezwa na isiwe picha tu bali passport size,then iweke katika format waliyoelekeza baada ya hapo katika device yako sehemu ambayo ukiwa unaipakia uione kumbuka iwe katika size elekezi.Baada ya hapo nenda kwenye profile yako fungua sehemu ya picha click hiyo picha iliyopo then itakupeleka kule unapotaka kwenda chagua picha unayotaka kuipakia then subiri. NB picha isiwe katika mfumo wa PDF Itakataa.Ukishindwa na hapa subiri ajira zingine
Ngoja nisubiri tu. Unachokieleza nimeshakirudia zaidi ya mara 50 na bado hakileti majibu
 
Utumishi Huwa wanachukua muda Gani kupita watu kwenye interview?
 
Hawa jamaa hawapokei simu hawajibu email.
Nimesahau password na email niliyotumia mwanzo.
Kwa Sasa sijafanya jambo lolote
 
ivi inawezekana ukaapply mara mbili i mean ukaapply masomo yote mawili moja moja separately?
 
Back
Top Bottom