Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Aisee wakuu nakata tamaa sasa. Picha imegoma kabisa kubadilika kwenye profile, sijui nafanyaje tena. Tangu jana nahangaika kutoa picha iliokuwepo. Hadi sasa hakuna majibu. Nisaidieni tafadhali
Mkuu umepata msaada? Kama bado wacheki ict kwa email waambie tatizo lako watabadili uliyojaribu kuweka

Nilikuwa na tatizo kama lako nimewaambia wamebadilisha
 
Wakuu niliambatanisha details za diploma na certificate sasa nataka nifute diploma ibaki certificate haitaki kufuta nifanyeje
 
Ni sahihi ni hapa ,sasa yeye alichokosea icho alichoongezea hapo kwa katibu wa iyo tume. Sasa swali lilikuwa anaweza bahatika au kayakanyaga?
Hapo sijui.

Lakini ifahamike kuwa, ukiandika

Katibu,
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma,

Hapo tayari inabainisha kuwa huyo Katibu ni wa Sekretarieti. Sasa kama kaandika

Katibu wa Sekretarieti,
Sekretarieti ya Ajira.....

Imekuwa ni mixture hatari..

Aombe Mungu tu, maana kwa hii nyomi utashangaa kawekwa pembeni ili kupunguza usumbufu.
 
Salaam wakuu....
Nauliza iwapo upo uwezekano wa kuondoa vyeti nilivyoambatanisha kwenye maombi yangu pale kwenye academic qualification na kuweka vingine, zipo changamoto nimezibaini kwenye maombi niliyokwisha yatuma hivyo nahitaji kubadili vyeti vyotee. Nimejaribu kuondoa vyeti vilivyopo imeshindikana kabisa.
 
Salaam wakuu....
Nauliza iwapo upo uwezekano wa kuondoa vyeti nilivyoambatanisha kwenye maombi yangu pale kwenye academic qualification na kuweka vingine, zipo changamoto nimezibaini kwenye maombi niliyokwisha yatuma hivyo nahitaji kubadili vyeti vyotee. Nimejaribu kuondoa vyeti vilivyopo imeshindikana kabisa.
Watumie email ya kutoa hizo wataondoa wao
 
Mkuu kuna jamaa angu anadai kwenye address ya mpokeaje pale mwanzo sehemu ya kuanza na KATIBU, yeye kamalizia KATIBU WA SEKRETARIETI na chini imeendelea kama kawaida na box lile lile je ,hilo neno aliloongeza mbele lina shida?
Hakuna shida usihofu kinachozingatiwa hapo ni sahihi
 
Ila huu mtandao nao changamoto sana ..

Juzi wakati namfungilia account mtu .. ikaandika account inactive ,,tukaangaika wee tukatumiwa Email ya kureset email ,, baada ya hapo tukatengeneza password mpya .. tukaingia ndani ya mfumo na kufanikiwa kujaza kilakitu kilichotakiwa na kutuma maombi ...

Sasa leo,, tumejaribu ku - log in inaniandikia incorrect log in ,, tumejaribu kuomba email verification ili nitengeneze password mpya ,,chaajabu hawanitumii ,,, tukasema tuwapigie simu hazipokelewi kabisaa sasa mtu unakosa mawazo ni hatua gani uchukue
Kama uliweza kuingia na leo inakwambia incorect log in! There must be incorrect log in! Just call them and ask or try to think the last passwords you have just entered!
 
Naomba kuuliza, sjatumiw sms ya kuninotify km maombi yamefika,lkn kwny profile inaonesha received. Nimeapply tar 22 had leo sjaona sms kw email ,kuna shida hapo?
Tayari yamefika ! Anza mazoezi ya kusoma na kufanya interview
 
Back
Top Bottom