Serikali yatangaza kiama kwa wapenda migomo vyuoni

Serikali yatangaza kiama kwa wapenda migomo vyuoni

hakuna anayeponda, uwe tayari kuumeza ukweli na si kukaa kubisha kila kitu. Kulinganisha reaction ya kukosa mikopo kat ya Udsm na Sauti au Ifm ni kudanganyana.

hamna anaebisha tunaongea ukweli kwa faida ya taifa maskini sasa kama 2taendelea kubishana chuo hiki bora zaidi ya kile watanzania watatushangaa na kutuona hatuna maana kwao..udsm 2nakiheshim ila na nyie wanafunz et mnataka 2waheshimu never
 
Kuna kila dalili kwamba suala la mikopo mwaka huu litaleta tafrani ya kihistoria vyuoni,serikari isitegemee kwamba inaweza ikawaacha maelfu ya watoto wa walipakodi maskini wenye sifa na hali ikawa shwari tu haiwezekani hata kidogo!hii ishu ni muhimu kuliko hata ishu ya umeme!,,USHAURI WA BURE KWA SERIKALI,,Bado haijachelewa,wakae chini na kutoka na mpango wa dharula na wa haraka utakaohakikisha wote wanaostahili kupata mikopo wanapata haraka iwezekanavyo!Vinginevyo mh Kawambwa huku SITE watu wanaona kabisa kwamba hili leo mkicheka nalo basi mjue iko siku isiyo na jina mtajalia kilio cha mbwa!,,,,,na sisi wadau wenye nchi basi tujadili tatizo kitaifa zaidi badala ya kusifia eti chuo gani ni mabingwa wa kudai haki kuliko vinginne,.THINK TWICE!
 
Nilijaribu kumtweet mhe Jk Katika account ya TWITTER km mara tatu juu ya tatizo hili la MIKOPO hatimae kanijibu leo sasa hv anasema "Bod ya mikopo inalìfanyia kaz swala hil na anaamin ufumbuz utapatìkana haraka iwezekanavyo".nawasilisha

NB;
Natumia mobile cwez weka hiyo post, kwa anayeweza anisaidie aingie TWITTER ,acheck account yake ni jmkikwete, ataona kareply kwenda jina la Eshacky.

Wahanga wenzangu tuombe mungu hili asemalo liwe ni kweli.
 
Ivi ni lzm ada ya chuo lzm ulipe yt yn ya mwaka mzm?.ninachojua mm unaweza kulipa ht kw awamu zilizopangwa na chuo.ss iweje nimesoma gazeti leo eti wanafunzi wt wa mwaka wa kwnz udsm hawataruhusiwa kufanya registration mpk (kw wale wa loan) wamalizie asilimia iliyoachwa na bodi ya mikopo!.SS JMN KM BODI WAMEKULIPIA LET SAY 60% NA ALTENATIVE POLICY YA CHUO NI KULIPA KW AWAMU INAKUAJE SS UDSM WANATAKA 1ST YR WAMALIZIE HT MIEZ 3 BD?.ha ha ha ha inji hii bana!
 
ndugu hili swala ni kutokana na mfumo tulionao tu ndio unaosababisha hayo yote na njia mojawapo ya kubadilisha hayayote ni kuepukana na huu mfumo na sera mbovu zilizopo. kwa sauti yao ni ndogo sana mbele ya uma wa watanzania ama wanavyuo ambao leo ni wasomi tena wa elimu ya juu............................................................ pole mwana jf pia wana jf tusiskilize zaid hahari hzo kwan kama wasomi tusijisahau tukaunda itifaki na kusahau misingi ya hak........
 
[h=2]
icon1.png
Katiba imevunjwa???[/h] Hivi kwa MoU kati ya wakristo na serikali "serikali imevunja katiba ibara 19 inayosema .."serikali haina dini......na shughuli za kuendesha taasisi za dini zitakuwa nje ya serikali...."

Je..fedha hizo za umma zilizotolewa zimeshafanyiwa auditing na auditor wa serikali au kamati ya bunge???

Je.. kuipa taasisi za dini fedha si kusaidia kuendesha shughuli za dini?

Je ni lini MoU hii itavunjwa na waliohusika kuulizwa na tume huru?

Je naweza kupeleka shauri hili mahakamani ili lipate tafsiri sahihi ya ibara hiyo



;;;;;;;;;;kama msomi unaillewa vipi serikali yako////?


ndugu hili swala ni kutokana na mfumo tulionao tu ndio unaosababisha hayo yote na njia mojawapo ya kubadilisha hayayote ni kuepukana na huu mfumo na sera mbovu zilizopo. kwa sauti yao ni ndogo sana mbele ya uma wa watanzania ama wanavyuo ambao leo ni wasomi tena wa elimu ya juu............................................................ pole mwana jf pia wana jf tusiskilize zaid hahari hzo kwan kama wasomi tusijisahau tukaunda itifaki na kusahau misingi ya hak........[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom