JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mimba yako ya chuki dhidi ya Hayati JPM itakutesa sana, na utapata tabu sana na kisichokujibu wala kukusikia.Mlipuko? Unajua maana ya mlipuko? Surua ni ugonjwa wa mlipuko (epidemic)?
Ugonjwa wa Surua unaweza kuwa unaanza kurudi kutokana na Magufuli kuwaaminisha Watanzania wengi kuwa Chanjo ni mpango wa wazungu kutuua
Sijui yeye kwa nini hakufa na wakati alipigwa chanjo
Aungue milele yule dikteta
Ndio mkuu,kwa mujibu wa miongozo ya kitaifa na kimataifa iliyopo (threshold) akitokea hata mgonjwa mmoja tu aliethibitika kuwa na surua tayari inachukuliwa kuwa ni mlipuko (Outbreak)mikoa mitatu tu kati ya 31 inatosha kuita MLIPUKO nchi nzima?
Mkuu asante,Wananchi waliaminishwa kuwa Chanjo ni mpango wa Mabeberu kutumaliza kisha wajizolee Madini na Maliasili zetu.Mlipuko? Unajua maana ya mlipuko? Surua ni ugonjwa wa mlipuko (epidemic)?
Ugonjwa wa Surua unaweza kuwa unaanza kurudi kutokana na Magufuli kuwaaminisha Watanzania wengi kuwa Chanjo ni mpango wa wazungu kutuua
Sijui yeye kwa nini hakufa na wakati alipigwa chanjo
Aungue milele yule dikteta
Mfia dini muda wa swala huu acha kuandika upumbavu jfMkuu asante,Wananchi waliaminishwa kuwa Chanjo ni mpango wa Mabeberu kutumaliza kisha wajizolee Madini na Maiasili zetu.
... sijui kama wale jamaa hii (chanjo) nayo wataikataa? Hizi chanjo ni kwa hisani ya watu wa Marekani na EU na sio Russia hilo liwekwe wazi.Asante KWA taarifa!
Chanjo za watoto WETU ziendelee kutolewa KWA Kasi!
Kwani ugonjwa wa Surua huwezi mtoto ukamfukiza nyungu au kwenye kinanda kilichojengwa muhimbili Hosp?... sijui kama wale jamaa hii (chanjo) nayo wataikataa? Hizi chanjo ni kwa hisani ya watu wa Marekani na EU na sio Russia hilo liwekwe wazi.
... kama kuna kipindi nchi ili-expose ujinga ni kipindi cha nyungu!Kwani ugonjwa wa Surua huwezi mtoto ukamfukiza nyungu au kwenye kinanda kilichojengwa muhimbili Hosp?
Ilikuwa ni aibu.... kama kuna kipindi nchi ili-expose ujinga ni kipindi cha nyungu!
Hivi hizi mimba zenu alizowapa magufuli bado hamjajifungua tu?Mlipuko? Unajua maana ya mlipuko? Surua ni ugonjwa wa mlipuko (epidemic)?
Ugonjwa wa Surua unaweza kuwa unaanza kurudi kutokana na Magufuli kuwaaminisha Watanzania wengi kuwa Chanjo ni mpango wa wazungu kutuua
Sijui yeye kwa nini hakufa na wakati alipigwa chanjo
Aungue milele yule dikteta
Heheee, mwenye tabu niwe mimi na sio nyie yatima aka WANYONGE?Mimba yako ya chuki dhidi ya Hayati JPM itakutesa sana, na utapata tabu sana na kisichokujibu wala kukusikia.
Eventually an insanity it exists.
Nasikia... sijui kama wale jamaa hii (chanjo) nayo wataikataa? Hizi chanjo ni kwa hisani ya watu wa Marekani na EU na sio Russia hilo liwekwe wazi.
Si mlisema kuwa wazungu wanataka kuwauwa na hizi chanjo??Asante KWA taarifa!
Chanjo za watoto WETU ziendelee kutolewa KWA Kasi!
Wapi na lini!?unasemea mimi au mwingine!!Si mlisema kuwa wazungu wanataka kuwauwa na hizi chanjo??