issakwisa6810
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 309
- 84
Mabeberu jaman 😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli✓Mlipuko? Unajua maana ya mlipuko? Surua ni ugonjwa wa mlipuko (epidemic)?
Ugonjwa wa Surua unaweza kuwa unaanza kurudi kutokana na Magufuli kuwaaminisha Watanzania wengi kuwa Chanjo ni mpango wa wazungu kutuua
Sijui yeye kwa nini hakufa na wakati alipigwa chanjo
Aungue milele yule dikteta
Ni kweli !ishu ya chanjo ni kama mbinu ya serikali siku HIZI!!Si mlisema kuwa wazungu wanataka kuwauwa na hizi chanjo??