Serikali yatangaza mlipuko wa Ugonjwa wa Surua Nchini

Kwakweliβœ“
 
Si mlisema kuwa wazungu wanataka kuwauwa na hizi chanjo??
Ni kweli !ishu ya chanjo ni kama mbinu ya serikali siku HIZI!!

Yaani tengeneza TATIZO tatua TATIZO jipigie makofi!

Na wao ni puliza vimelea hewani kama corona halafu uza chanjo jisifu kea kugundua chanjo!!

Mbinu ile ile serikali imeiga!!
 
Watu 54 out of 60m wanatosha kutuhakikishia kwamba kuna mlipuko wa surua nchini? Nilisikia ile kauli kwamba tunajenga vituo vya afya nchi nzima, huku niliko kwakweli sijaona ujenzi wowote, si tu mahali nilipo ila hata maeneo ya jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…