Serikali yatangaza nafasi za kazi 6,257 katika wizara, idara, wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa

Serikali yatangaza nafasi za kazi 6,257 katika wizara, idara, wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa

Mwl.RCT

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
14,624
Reaction score
20,666
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi jumla ya elfu sita, mia mbili na hamsini na saba (6,257) katika Wizara, Idara, Wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa.

Nafasi hizo zinahusisha maeneo mbalimbali ikiwemo kilimo, uvuvi, misitu, uhifadhi, utawala, na mengineyo.
1722684796291.png
 

Attachments

Kwa hio unadhani hizo ajira hadi kufikia mwakan wa 11 watakuwa hawajaripoti kazin ?
Mkuu wa 11 sio mchakato wa usaili tu pogia jesabu january mkuu,kuripoti kazini mwakani july
Waliosoma cuba wanaelewa😁😁
Mwaka jana walitoa nafasi kama 800 hvi afisa maemdeleo ya jamii MDA &LGA wanaita mmoja mmoja sahvi sina hakika kama ata mia 4 wamefika😁😁 toka wafanye usaili unaenda mwaka sahvi
 
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi jumla ya elfu sita, mia mbili na hamsini na saba (6,257) katika Wizara, Idara, Wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa.

Nafasi hizo zinahusisha maeneo mbalimbali ikiwemo kilimo, uvuvi, misitu, uhifadhi, utawala, na mengineyo.
View attachment 3060505
Fursa hizo....
 
Bora tu watoe ajira uchaguzi wenyewe hatujawahi kuchagua either watoe au wasitoe
 
Kuna wizara ya mipango na uwekezaji ila kwenye halmashauri zote nchini hakuna idara inayo endana na hyo wizara sana sana kuna idara ya mipango ambayo mtu aliye soma Finance and investment planning hawezi kupata hyo kazi. Sasa kama tunasisitiza uwekezaji kwann tusianzie uko chini? Halmashauri zinashindwa kutekeleza baadhi ya miradi ya maendeleo kwa either kukosa fedha au kucheleweshewa fedha kutoka serikali kuu wakati uwo halmashauri zinaweza kutumia municipal bond kuweza ku rise pesa ili kuweza kughalamikia miradi inayosuasua. Ili nalo nawataka mkaliangalie.
 
Back
Top Bottom