Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
C mlitangaziwa waalimu au wakati huo haukuwa nchini?Kuna kaz yoyote inayohusu wenye bachelor of science with education kwenye hz 6500?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C mlitangaziwa waalimu au wakati huo haukuwa nchini?Kuna kaz yoyote inayohusu wenye bachelor of science with education kwenye hz 6500?
M naangalia fursa popote t ilmrad nina vgezoC mlitangaziwa waalimu au wakati huo haukuwa nchini?
usiwakatishe watu tamaa acha mambo hayo ya ajabu vijana tumeni maombi....Mkuu wa 11 sio mchakato wa usaili tu pogia jesabu january mkuu,kuripoti kazini mwakani july
Waliosoma cuba wanaelewa[emoji16][emoji16]
Mwaka jana walitoa nafasi kama 800 hvi afisa maemdeleo ya jamii MDA &LGA wanaita mmoja mmoja sahvi sina hakika kama ata mia 4 wamefika[emoji16][emoji16] toka wafanye usaili unaenda mwaka sahvi
Soma Tangazo unapoona unafaa omba,usitaki mtu akusomee tangazo ndugu mwalimuC mlitangaziwa waalimu au wakati huo haukuwa nchini?
Umeelewa swali langu ndugu mkurupukaji?Soma Tangazo unapoona unafaa omba,usitaki mtu akusomee tangazo ndugu mwalimu
Nilikuwamtag huyo mwamba muuliza swali,kumbe nimekutag ww,ujumbe wangu ulikuwa unamlenga yeyeUmeelewa swali langu ndugu mkurupukaji?