Judister Gabriel Mlawa
New Member
- Sep 16, 2021
- 4
- 10
Serikali ya Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa wanafunzi wa masomo ya Sayansi na Teknolojia hasa katika zama za wakati tulio nao, Rais Samia Suluhu kupita bajeti ya Serikali ya Wizara ya Elimu 2022/23 kiasi cha Sh. 3bn/- kimetengwa kwa ajili ya kufadhili wanafunzi 500 wa masomo ya Sayansi.
Wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao ya kidato cha sita watapata ufadhili wa masomo katika kada za udaktari na uhandisil.
Wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao ya kidato cha sita watapata ufadhili wa masomo katika kada za udaktari na uhandisil.