Serikali yatimua wanafunzi UDSM

Serikali yatimua wanafunzi UDSM

ni yale yale ya utawala wa Msolla! hivi kweli Tanzania hatuna watu wenye akili timamu ambao wanaweza kukaa chini na kutatua matatizo ya Mlimani? Tuombe wawekezaji waje kutuonesha jinsi ya kuendesha Chuo Kikuu cha Taifa...?
Kama mawazo ya Watanzania ni haya basi inatisha, si ajabu tukawaita wawekezaji waje kutuendeshea mambo ndani ya familia zetu. Tatizo letu ni kwamba watanzania tumekuwa wavivu wa kufikiri, tunapenda majibu rahisi rahisi, tunapenda kulaumu wengine na kukwepa wajibu wetu. Hivi kuna yeyote aliyejiuliza mchango wa wanafunzi katika sakata hili? Haya huyo aliyekuwa akilia Hall & analilia nini?

Sisi wenyewe si wastaarabu, tunajifanya tunajua sana. Huko Ulaya umesikia lini ati Chuo kimefungwa kwa sababu ya siagi, mkate, nyama au wali? Ina maana hakuna masikini? Au Masikini wa huko hawaendi shule? Tumezidi kujiendekeza na kuiga mambo tusiyoyaweza.

Mjukuu wangu yupo mwaka wa tatu na yeye kanieleza yafuatayo:-

1. Kuna wanafunzi ambao hawataki kusoma wapo Chuoni kwa shinikizo la wazazi wao.

2. Wamefeli koziweki na wanadhani vurugu zikipelekea kufunga chuo watasalimika na kufukuzwa.

3. Wapo waliomaliza boom, hawana kitu mifukoni, wanaona wiki nne zilizobaki wataumbuka, chuo kikifungwa wakirudi nyumbani wanaweza kupata chochote kutoka kwa wazazi wao.

Na wengi katika makundi haya ni mwaka wa 1 na wa 2


Mwaka wa 3 na wa 4 kama wamo basi ni wachache sana.

Bahati njema kwangu mjukuu wangu Aggy si mmoja kati ya makundi hayo. Nashukuru Mungu. Naomba Mungu pia amalize mtihani wake.
 
Kama mawazo ya Watanzania ni haya basi inatisha, si ajabu tukawaita wawekezaji waje kutuendeshea mambo ndani ya familia zetu. Tatizo letu ni kwamba watanzania tumekuwa wavivu wa kufikiri, tunapenda majibu rahisi rahisi, tunapenda kulaumu wengine na kukwepa wajibu wetu. Hivi kuna yeyote aliyejiuliza mchango wa wanafunzi katika sakata hili? Haya huyo aliyekuwa akilia Hall & analilia nini?

Hili ni swali ambalo hata wewe mwenyewe hujarijibu na unajaribu kutoa majibu rahisi kama hapa chini

Sisi wenyewe si wastaarabu, tunajifanya tunajua sana. Huko Ulaya umesikia lini ati Chuo kimefungwa kwa sababu ya siagi, mkate, nyama au wali? Ina maana hakuna masikini? Au Masikini wa huko hawaendi shule? Tumezidi kujiendekeza na kuiga mambo tusiyoyaweza.

Ulisikia lini wanafunzi wa huku wanaletewa zengwe kama wa bongo. Hakuna longolongo kama bongo ndio maana husikii watu wakigomea mambo kama haya. Hapa watu wanagomea mambo makubwa kama vita na vingine kwa vile serikali inatimiza wajibu wake kwa kiasi kikubwa kwenye public universities.

Mjukuu wangu yupo mwaka wa tatu na yeye kanieleza yafuatayo:-

1. Kuna wanafunzi ambao hawataki kusoma wapo Chuoni kwa shinikizo la wazazi wao.

Huu si ukweli na inabidi huyo mjukuu wako achunguzwe akili

2. Wamefeli koziweki na wanadhani vurugu zikipelekea kufunga chuo watasalimika na kufukuzwa.

3. Wapo waliomaliza boom, hawana kitu mifukoni, wanaona wiki nne zilizobaki wataumbuka, chuo kikifungwa wakirudi nyumbani wanaweza kupata chochote kutoka kwa wazazi wao.

Wengi wa waliofukuzwa wana grades nzuri sana hapo chuoni na wengi wanataka tu demokrasia sio propaganda na upupu kama huu!

Na wengi katika makundi haya ni mwaka wa 1 na wa 2


Mwaka wa 3 na wa 4 kama wamo basi ni wachache sana.

Bahati njema kwangu mjukuu wangu Aggy si mmoja kati ya makundi hayo. Nashukuru Mungu. Naomba Mungu pia amalize mtihani wake.

Wewe na mjukuu wako ni kama wale waliokuwa wanamkataza Nyerere na Karume wasipiganie uhuru kwa vile walikuwa wanapata vipesa kwa kufagia nyumba za mbwa wa wakoloni.
 
Why Kugoma?

labda nikuambie kwa kutumia why not?

1. Why not kugoma ili serikali isitishe mikataba mibovu?
2. Why not kugoma ili bei ya umeme ipungue?
3. Why not kugoma ili serikali isite kulipa richmonduli?
4. Why not kugoma ili mafisadi washitakiwe?
5. Why not kugoma ili serikali ithamini elimu nchini?
6. Why not kugoma ili pesa za nchi zitumike kwenye huduma za jamii,km afya, elimu, miundombinu, maji na nyinginezomuhimu zipatikane nchini tena kwa bei rahisi ila kila mwananchi amudu kuzipata?
7. Why not kugoma ili huduma muhimu zipatikane chuoni?

Wangegoma kwa haya na mimi ningewaunga miguu na mikono yote. Tena ningeongeza,

8. why not kugoma ili sekondari za kata zipewe walimu wenye sifa na vitendea kazi?

9. Why not kugoma ili mabilioni ya kikwete yawafikie walengwa?

10. Why not kugoma ili rasilimali za nchi ziwanufaishe wazawa?
 
Wangegoma kwa haya na mimi ningewaunga miguu na mikono yote. Tena ningeongeza,

8. why not kugoma ili sekondari za kata zipewe walimu wenye sifa na vitendea kazi?

9. Why not kugoma ili mabilioni ya kikwete yawafikie walengwa?

10. Why not kugoma ili rasilimali za nchi ziwanufaishe wazawa?

Hata wewe una nafasi ya kugomea hayo. Je umejiandaa kugoma tayari?
 
Kama mawazo ya Watanzania ni haya basi inatisha, si ajabu tukawaita wawekezaji waje kutuendeshea mambo ndani ya familia zetu. Tatizo letu ni kwamba watanzania tumekuwa wavivu wa kufikiri, tunapenda majibu rahisi rahisi, tunapenda kulaumu wengine na kukwepa wajibu wetu. Hivi kuna yeyote aliyejiuliza mchango wa wanafunzi katika sakata hili? Haya huyo aliyekuwa akilia Hall & analilia nini?

Sisi wenyewe si wastaarabu, tunajifanya tunajua sana. Huko Ulaya umesikia lini ati Chuo kimefungwa kwa sababu ya siagi, mkate, nyama au wali? Ina maana hakuna masikini? Au Masikini wa huko hawaendi shule? Tumezidi kujiendekeza na kuiga mambo tusiyoyaweza.

Mjukuu wangu yupo mwaka wa tatu na yeye kanieleza yafuatayo:-

1. Kuna wanafunzi ambao hawataki kusoma wapo Chuoni kwa shinikizo la wazazi wao.

2. Wamefeli koziweki na wanadhani vurugu zikipelekea kufunga chuo watasalimika na kufukuzwa.

3. Wapo waliomaliza boom, hawana kitu mifukoni, wanaona wiki nne zilizobaki wataumbuka, chuo kikifungwa wakirudi nyumbani wanaweza kupata chochote kutoka kwa wazazi wao.

Na wengi katika makundi haya ni mwaka wa 1 na wa 2


Mwaka wa 3 na wa 4 kama wamo basi ni wachache sana.

Bahati njema kwangu mjukuu wangu Aggy si mmoja kati ya makundi hayo. Nashukuru Mungu. Naomba Mungu pia amalize mtihani wake.

Bibi,
Mjukuu wako kakulisha sumu
ktk sababu ya kwanza; Amini usiamini watu wanaoshinikizwa na wazazi wao kusoma wanakuwa waoga wa kupindukia kujiingiza ktk migomo. Wakifukuzwa watawaeleza nini wazazi wao kwa maana mpaka mtoto anashinikizwa kuja kusoma inamaana anamheshimu mzazi wake na hivyo hayuko tayari kumkosea babayake.

Sababu ya pili; Chuo kikifungwa na masomo waliyofeli yanafutika? hakuna kusalimika bibi mjukuu wako kakudanganya. Mgomo ni utashi na ni maumivu ya mtu anayoyapata kutokana na kunyimwa haki yake ya msingi kwa makusudi na hana namna ya kuipata.

Sababu ya tatu; Kama wakirudi nyumbani wanapata chochote kwa wazazi wao, je hawawezi kuwaambia wazazi wao wawape pesa wakiwa wanaendelea na masomo? Hii ni sababu dhaifu mno mama.

Muulize tena huyo mjukuu wako akueleze vizuri kuna kitu anaficha. Mwambie sababu hizo haziwezi kusababisha mgomo. Nenda nye chemba ukamuulize vieuri atakueleza.

Kumbuka pia wanafunzi wale hawakuwa wanadai nyama, siagi na mikate kama ulivyosema wanayo madai yao ya msingi muulize huyo mjukuu wako akuambie vizuri inawezekana yuko hapo kudowea wali.

Be careful mama do not talk like you are not in Tanzania. We are Tanzanian and we proud to be Tanzanian. Unayoyaona yote yataisha na yana muda kidogo tu.

Mungu bariki Tanzania na watu wake
 
tatizo ni wateuliwa wa rais wanaongoza chuo kikuu, wanadhani kuwa kwa kuingilia mambo ya wanafunzi mpaka kuiwachagulia viongozi ni kuimarisha chama cha majambazi! ni wakati muafaka kwa mukandara kuijiangalia upya kama bado anaweza kuongoza tasisi hiy au aombe apumzike akjikombe kwa kikwete
 
Hiyo ndiyo TZ ,wanafukuza watoto wa wenzao, wao wako Ulaya na Marekani, tena wengi wao wamekwenda kwa vijisenti vya ufisadi. Mlalahoi hana haki nchi hii, nadhani watanzania wote tuandamane kukataa mabaya yote yanayotokea.
 
Jana Mwal. Kitila alisema kuwa chanzo cha mgomo bado akikosawa, tuelezeni madai ya wanafunzi yalikuwa yepi, kwa upande wa management kwanini mnajua kabisa kuna dalili za mgomo kwa ajiri ya uchaguzi halafu nyie mnaingiza na mambo ya kufukuza wanafunzi mlitaka wagome kabisa nashindwa kupata logic iliyotumika hapa.

Je mgombea Uraisi Mganda alikuwa na role gani wakati wa vurugu za kwanza zilizoundiwa kamati, hapa naisi kuna mkono wa kifisadi, je kweli na yeye alikuwa engineer wa mgomo wa kwanza au ameingizwa ili kumzuia asichaguliwe, management wanaitaji kujibu hili ndo watu wataelewa kinachoendelea.
 
i still reason within the ambit of no to mgomo

kama ni kuwachagulia huyo rais ambaye hawamtaki nitawasupport wakinijibu hili.

tangu huyo kijana amesimamishwa ili alete yaliyodaiwa kuwa ni origina certificate, si zimepita wiki mbili na zaidi? hivi wiki mbili ameshindwa kutafuta hicho cheti toka Uganda hadi Tanzania hata kama ni kwa EMS au kwenda yeye mwenyewe na wale wanaomuunga mkono kumchangia hiyo nauli ya kwenda UG.?

pili, ameshindwa kuomba muda chuo ili akatafute hicho cheti hata kama ni kwa sharti kuwa uchaguzi usimamishwe?

watu 20000, idadi ya UD inayomuunga mkono ingeweza kuchanga sh. 100, zingekuwa milion 2 ambazo angeweza kwenda kwa ndege na kurudi.

swala kwamba hakudailiwa vizuri, hilo ni jambo jingine maana an illegal search though illegal but the evidence obtained are admitted. huwezi sema ndio gali la wizi limekutwa kwangu lakini police hakuja na search warrant.

that is my reason behind.
 
hakuna lolote nimegundua kuwa hawa wanafunzi ni vandals.. wamevunja kule swimming pool. kuiba bia na soda. wamevunja mabweni... kitu ambacho hakina uhusiano na malalamiko yao. wengine wamekamatwa na 5kilos za bangi.
they behave like animals andd deserve kuwatreated the same... yule msichana hajafa wala nini..... mzima and so is her baby...
 
Jana Mwal. Kitila alisema kuwa chanzo cha mgomo bado akikosawa, tuelezeni madai ya wanafunzi yalikuwa yepi, kwa upande wa management kwanini mnajua kabisa kuna dalili za mgomo kwa ajiri ya uchaguzi halafu nyie mnaingiza na mambo ya kufukuza wanafunzi mlitaka wagome kabisa nashindwa kupata logic iliyotumika hapa.

Uelezwe na nani? mara ngapi unataka uelezwe?

Je mgombea Uraisi Mganda alikuwa na role gani wakati wa vurugu za kwanza zilizoundiwa kamati, hapa naisi kuna mkono wa kifisadi, je kweli na yeye alikuwa engineer wa mgomo wa kwanza au ameingizwa ili kumzuia asichaguliwe, management wanaitaji kujibu hili ndo watu wataelewa kinachoendelea.

Kabla chuo hakijaingilia uchaguzi huru wa wanafunzi wa chuo kikuu, kulikuwa hakuna fujo na wanafunzi walikuwa wakiendelea na maisha yao kama kawaida!
 
i still reason within the ambit of no to mgomo

kama ni kuwachagulia huyo rais ambaye hawamtaki nitawasupport wakinijibu hili.

tangu huyo kijana amesimamishwa ili alete yaliyodaiwa kuwa ni origina certificate, si zimepita wiki mbili na zaidi? hivi wiki mbili ameshindwa kutafuta hicho cheti toka Uganda hadi Tanzania hata kama ni kwa EMS au kwenda yeye mwenyewe na wale wanaomuunga mkono kumchangia hiyo nauli ya kwenda UG.?

pili, ameshindwa kuomba muda chuo ili akatafute hicho cheti hata kama ni kwa sharti kuwa uchaguzi usimamishwe?

watu 20000, idadi ya UD inayomuunga mkono ingeweza kuchanga sh. 100, zingekuwa milion 2 ambazo angeweza kwenda kwa ndege na kurudi.

swala kwamba hakudailiwa vizuri, hilo ni jambo jingine maana an illegal search though illegal but the evidence obtained are admitted. huwezi sema ndio gali la wizi limekutwa kwangu lakini police hakuja na search warrant.

that is my reason behind.

Sikushangai maana hata leo hii kuna watu wanasema kuwa Lowasa ameonewa kisheria na hivyo inabidi arudishwe kwenye nafasi yake ya uPM
 
hakuna lolote nimegundua kuwa hawa wanafunzi ni vandals.. wamevunja kule swimming pool. kuiba bia na soda. wamevunja mabweni... kitu ambacho hakina uhusiano na malalamiko yao. wengine wamekamatwa na 5kilos za bangi.
they behave like animals andd deserve kuwatreated the same... yule msichana hajafa wala nini..... mzima and so is her baby...

Kama ni bangi, umesahau kuwa Kikwete ana list kubwa sana ya wauza madawa ya kulevya ambao hadi leo hawajachukuliwa hatua yoyote ile?

Unavyowaita wanafunzi hawa kama animals, unatumia the same language ambayo makaburu walikuwa wanamwita Nelson Mandela
 
hakuna lolote nimegundua kuwa hawa wanafunzi ni vandals.. wamevunja kule swimming pool. kuiba bia na soda. wamevunja mabweni... kitu ambacho hakina uhusiano na malalamiko yao. wengine wamekamatwa na 5kilos za bangi.
they behave like animals andd deserve kuwatreated the same... yule msichana hajafa wala nini..... mzima and so is her baby...

we haya unayoyasema ni mgomo huu unaoendelea au yale ya zamani?
 
Hata Lowasa alisema the same thing mwaka jana!


NO. KWA SABABU LOWASA HAKUJENGA HOJA YOYOTE ISIPOKUWA TU KUSEMA NIMESINGIZIWA, HUKU WATU WAKIJENGA HOJA.

NA HAPA KWA SABABU TUMEJITAHIDI KUJENGA HOJA KITU GANI KITATOKEA NA NINI KINAWEZA KUFANYIKA HUKU WEWE UKITUMIA MANENO YASIO YA USTAARABU NA KASHFA ZA VIOJA BADALA YA HOJA KAMA HII HAPA JUU,

NINADHANI Iam not whom you think Iam but i am whom you think I am not, and you may be not whom you think you are but you are whom you think you are not.
 
NO. KWA SABABU LOWASA HAKUJENGA HOJA YOYOTE ISIPOKUWA TU KUSEMA NIMESINGIZIWA, HUKU WATU WAKIJENGA HOJA.

NA HAPA KWA SABABU TUMEJITAHIDI KUJENGA HOJA KITU GANI KITATOKEA NA NINI KINAWEZA KUFANYIKA HUKU WEWE UKITUMIA MANENO YASIO YA USTAARABU NA KASHFA ZA VIOJA BADALA YA HOJA KAMA HII HAPA JUU,

Watu kama wewe ambao wanadhani kuwa wanaelewa sana kuliko wenzao ndio huwa nawapenda kwenye hii forum. So far hujajenga hoja yoyote ile wewe wala wenzako hao unaowasema kuwa mmejenga nao hoja.

Inawezekana hata hii attitude ndiyo aliyonayo Mukandala kuwa yeye akienda kwenye media na kuwaita hao vijana kuwa ni wavuta bangi na wajinga basi atakuwa amesuluhisha matatizo ya watoto hao.

leta argument ya msingi na utapata the best of JF. So far hakuna chochote umetoa hapa!

NINADHANI Iam not whom you think Iam but i am whom you think I am not, and you may be not whom you think you are but you are whom you think you are not.

Wakati ukiendelea kudhani hapa, kuna vijana wamefukuzwa chuo bila sababu huku wengine wakiuguza maumivu ya kipigo toka kwa fisadi, dikiteta na muuaji Mukandala kwa sababu tu walitaka kuwa na uchaguzi huru na wa haki wa viongozi wa chama chao.
 
NO. KWA SABABU LOWASA HAKUJENGA HOJA YOYOTE ISIPOKUWA TU KUSEMA NIMESINGIZIWA, HUKU WATU WAKIJENGA HOJA.

NA HAPA KWA SABABU TUMEJITAHIDI KUJENGA HOJA KITU GANI KITATOKEA NA NINI KINAWEZA KUFANYIKA HUKU WEWE UKITUMIA MANENO YASIO YA USTAARABU NA KASHFA ZA VIOJA BADALA YA HOJA KAMA HII HAPA JUU,

NINADHANI Iam not whom you think Iam but i am whom you think I am not, and you may be not whom you think you are but you are whom you think you are not.
Ishengoma hizi kauli zako kusema kweli zimepitwa na wakati!Kwa kifupi wewe unapendelea nchi yetu ibaki dormant!Unataka ikwame tu!Wananchi wamelala na wewe unazidi kushabikia usingizi huo!Ikatuchukua watanzania Mnorway kuhoji haki zetu...na mwingereza kutuvumbulia mfisadi.. na sasa inatuchukua mganda kuhoji haki zetu!Which side of the history are you going to be Mr Ishengoma?
 
Back
Top Bottom