Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio kenya sasa achana na TanzagizaChombo cha Habari KTN chasema kimepokea vitisho vya kufungiwa kwasababu ya kuripoti maandamano, waambiwa waache mara moja kuripoti habari hizo.
KTN wajibu na kusema hawatacha kuripoti matukio yenye maslahi ya umma kwa wananchi.
Ruto amtafute Uhuru Kenyatta kwa ushauri.Chombo cha Habari KTN chasema kimepokea vitisho vya kufungiwa kwasababu ya kuripoti maandamano, waambiwa waache mara moja kuripoti habari hizo.
KTN wajibu na kusema hawatacha kuripoti matukio yenye maslahi ya umma kwa wananchi.
Ndio hawa?TBC Wana safari ndefu.
Takataka wanasafari ndefu TBC sio chombo Cha habari ila ni chombo Cha ccm Cha kuwahamasisha Wana ccm wenzao kwenye ujinga waoTBC Wana safari ndefu.
Waligombana hata kabla Ruto hajawa raisi sembuse sasaRuto amtafute Uhuru Kenyatta kwa ushauri.
ina nn? 😳Aisee ila Kenya.
Vuruguina nn? 😳
Mtanzania ni mtu asie na akili hata kidogo ujamaa uliwaharibu wataz , hata haki zao kikatiba wanaomba, mtu anahela yake mkononi, anaenda dukani kununua kitu anasema eti naomba wakati analipa cash useme huyo ana akili timamuHivi Nchi ya Kenya wanafundishwa Nini shuleni?au mtaala wao wa elimu ukoje?Kwa ni ni wajasiri sana na wanajitambua kuliko watanzania ambao wao hata wakamuliwe vipi na tozo lakini hawaandamani.Naombeni utaratibu ili kuwa raia wa Kenya unafanyaje ili nihamie huko niachane na waoga wenye bunge kibogoyo.