Hahahaaaa....
Tulia wewe shogger mpenda chanjo.
Hizo chanjo baki nazo huko huko kwa mmeo.
Ukijifanya unadunga watu tutakushughulikia mpaka uvae chupi kichwani.
Narudia tena, hizo chanjo ujichanje wewe na mmeo.Ng'wana Samike tulia hapo Chatto zama zenu za ujinga uliopitiliza zilikwisha.
Huna lolote wewe mjuaji tu.
Kujitia tia usomi, oooh virus sijui nini nini!
Mabingwa wa kukariri nyinyi kama makasuku lakini hakuna sayansi yoyote mnayoijua.
Virus my foot! Tengeneza chanjo basi tuone usomi wako!
Umekaa kitako unasubiri kubugia machanjo ya mabeberu, unatuandikia magazeti... ooh virus, sijui variant!
Narudia tena, hizo chanjo ujichanje wewe na mmeo.
Ukithubutu kujitia unadunga watu, hakika hautabaki salama.
Nitakuwa wa kwanza kuhakikisha unashughulikiwa kwa namna inayojulikana ama isiyojulikana.
Take it to the bank!
Wabongo tuna copy & paste tu, wala hatujiulizi mara mbili, Mbowe alituambia kachanjwa lakini nae namuona anavaa barakoa!
Nimemaliza.Hii ID yako ya juzi?
View attachment 1824499
Huna lolote MPUMBAVU wewe.
Pamoja na kuwa hunitishi, nichanje watu mimi mtalaamu wa afya? Waungwana hatuvamii taaluma za watu. Huziheshimu na kusikiliza maelekezo yao kwa usikivu.
Wapumbavu kama wewe, ni wajuzi wa kila kitu: nyungu na ushirikina vyote vyenu. Hatutaki kusikia upumbavu wenu na ramli zenu za huko kwenu kwenye hadhara za nchi hii.!
Nimemaliza.
Sasa hiyo chanjo inawasaidia nini kama virus wanabadilika? huo usomi wako wa internet unaojidai nao hata sioni maana yake, Astrazeneca ilikuja na matatizo kibao.Walei yaani mna ubishi sana. Kitu usichokijua ni kwamba virus kwa tapia yake hubadilika sura kadiri muda unavyopita. Ndiyo maana kuna variants nyingi za novel corona virus tangu igunduliwe 2019/20 km vile Alpha, Beta, Delta, nk. Chanjo ambayo inafanyakazi kwa variants za sasa inaweza isifanye kazi kwa variants mpya zitakazokuja kesho na keshokutwa. Kwa hiyo kuendelea kujilinda baada ya chanjo na kuzuia variants nyingine kutoka nchi nyingine bado ni muhimu.
Kumbe hizo chanjo mnazopigia kelele za kazi gani kama hamziamini mpaka mvae tena barakoa? huyo mdau lorenzo anakuonesha ulivyo kipofu unajitutumua kumuita mjinga, wakati wewe ndio zaidi ya mjinga.Jielimishe hata kidogo tu. Nani alikwambia ukichanjwa hautumii barakoa? Mbona unajishusha chini hivyo wee binadamu?
Unawashwa nyapu, siyo?Hizo barakoa kavae wewe na mmeo.
Usituletee ujinga wa mabarakoa hapa.
Hilo jamaa halijielewi, kujiunga majuzi tu hapa na kuanza kushambulia watu humu. Mods. fanyeni kazi yenu kwa hawa machizi wanaojiunga sasa.Hii ID yako ya juzi?
View attachment 1824499
Huna lolote MPUMBAVU wewe.
Pamoja na kuwa hunitishi, nichanje watu mimi ni mtalaamu wa afya? Waungwana hatuvamii taaluma za watu. Huziheshimu na kusikiliza maelekezo yao kwa usikivu.
Wapumbavu kama wewe, ni wajuzi wa kila kitu: nyungu na ushirikina vyote vyenu. Hatutaki kusikia upumbavu wenu na ramli zenu za huko kwenu kwenye hadhara za nchi hii.
Hiyo ndiyo habari yenyewe mburula wewe!
Utapata tabu sana na mabarakoa yako!Hilo jamaa halijielewi, kujiunga majuzi tu hapa na kuanza kushambulia watu humu. Mods. fanyeni kazi yenu kwa hawa machizi wanaojiunga sasa.