Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

Kusaja

Senior Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
114
Reaction score
42
Ajira mpya za Walimu ni utata.





mwalimu wenu, Taarifa ya ajira zenu hii hapa

 

Lakini unajua kuwa leo ni February 25.? Remains 24 hours only.
 
Hii habari nahisi itakua kweli asee
 
acha kushtua watu mkuu ujue siku hiz presha hata kwa vijana ipo
 
hii habari ya uongo kabisaaaaaa na hakuna kitu kama hicho.usidanganye watu mkuu!
 
Duu tunafarijiana tu ili siku ziende hakuna kitu km hicho ajira had april mosi tuvute subira
 
kuna mtu wangu wa wizara kanitonya kuwa post week hii mtapata ajira madogo pia hatutaki story za sijui wamenitupa polini ndo mkakomae
 
Cna hakika na hz habar! kwa nnavofaham serikari uwa inaajiri kuanzia trh yeyote bt lazma iwe ni trh 1, Mwez wowote labda cjuh na nnavojua post zitatoka kuanzia mach 17
 
mmmmmmmh!! Tumesulubishwa sana,tumedharirishwa sana,tumevumilia sana!!haha! Poleni walimu soon mtakula mema ya nchi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…