Serikali yatoa ndege za mafunzo ya awali kwa marubani na mabasi ya usafirishaji kwa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)

Hatua njema mno....

Mh.Rais Samia anaendelea kuboresha TAASISI zetu za dola....

Kudos chifu Hangaya [emoji7][emoji7][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni amiri jeshi wa majeshi ya ulinzi. Sio ..wa ulinzi na usalama. Civics ya kidato cha kwanza imefundisha hilo lakini unakuta hadi msemaji wa ikulu naye anaandika kitu ambacho hakipo.
 
Haya ndiyo mambo...

Ahongereke aliyetoa ushauri huo...

Kudos[emoji2956]

Wachina ni marafiki zetu....tunashea nao IMANI ya kijamaa.....

#El Commandante Mao Tse Tung bado anaishi[emoji2956]
 
Yaani Bongo Kila jambo ni kukosoa. Hata kama si kweli mlitaka tununue haya magari kutoka wapi?
 
Umewezaje kupiga picha mali za jeshi? Kipindi cha jiwe kuna mali aliwapa jeshi na stor zake zikaishia hapo. Nadhani ni kivuko kama sikosei. Mtanikumbusha hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…