Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wameunda tume tena au bado
Yakirudi bei itapungua?.Maji ya kutengenezea soda hamna
Acha matusi koko wewe....Katiba inasema Rais angalau awe na degree
Lakn samia elimu yake n utata watu tunalifumbia macho hili
Tutaendeshwa Sana na Hawa wasio na elimu
Hawez kukemea sababu uwezo wake n mdogo kifup hajui chochote
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sio soda tu hata maji saiv ni ya shida ,, waulize wanaofanya biashara ya vinywaj vya jumla.Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.
Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.
Source: ITV habari
Kwenye vifaa vya ujenzi ali ni mbayaWaziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.
Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.
Source: ITV habari
Kwani coca cola wapo na kiwanda kimoja kwa Tanzania nzima? Vipi mbeya kilikufa? Pia Moshi?coca cola ni maintenance problem kutokana na ngozi nyeupe walikwenda likizo ya mwisho wa mwisho wa mwaka pia mkanda ukazingua kiwandani. hivyo unatumika mkanda mmoja ndio maana wanazalisha soda aina moja kila baada ya siku kadhaa.walioko hawana ujuzi mpaka warudi ngozi nyeupe.
imepelekea pepsi kutumika kwa wingi kuliko uzalishaji wake. pia jua linachangia watu kunywa vinywaji baridi kwa wingi. tar 20 ngozi nyeupe watakuwepo kwenye nchi ya kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Msoga crew aka wapigaji wameshika usukaniWaziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.
Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.
Source: ITV habari
Hakika kwa maelekezo haya,tutaisoma nambaMakamba yenyewe ni MITA MIA TANO manake nusu kilomita. Wanakula na hawachoki na bado wanavimbiwa tu. Mungu ibariki CCM
Dr. Ashantu namkubali sana ni miongoni mwa Mawaziri Serious kwenye kazi, mfuatiliaji mzuri sana.
mwenye kujitoa kwa ajili ya wananchi.
naamini kuna jambo litayokea.
Inasikitisha sana kuona tuna wataalamu wa kutosha ktk kila idara za Serikali lkn wamekaaa kimyaaa.........bidhaaa zinapanda bei ovyoo, bidhaa zinaadimika......wao wapo kimya kama vile hawapo......!!!
watanzania mlio pewa dhamana ktk nafasi mbalimbali badilikeni.
Hakuna lolote SIASA TUWaziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.
Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.
Source: ITV habari
Bado unawashwa na hayati tuJiwe ye alishindwa kutumia vyombo vya kibiashara akasema jeshi litabangua korosho kwa kutumia mizinga.