Serikali yatoa siku 3 FCC itoe ripoti kwanini bei za Soda zimepanda, pia imetoa siku 7 ijulishwe kwanini Vifaa vya Ujenzi vimepanda Bei

Ha ha ha siku zooote hizo wamekaa kimya. Wameona hali mtaani si hali approval ratings zimeshuka sana wanaanza kujikosha!
 
Waruhusu viwanda vya nje viingize bidhaa. Wabongo tunatesana tu.
 
Tatizo ni mfumo wa siasa unatumika kwetu ni wa kizamani .mtu kutoa ahadi za uongo na kutotekeleza Kama ilani za vyama vyao umekuwa Jambo la kawaida .. na wengi wanaoingia kwenye siasa bado Wana upeo huo. Inahitajika external force kuvunja hiyo kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…