Serikali yaunda Tume kuchunguza Ufisadi Tanesco

tume inayochunguza 1.4bil inaweza yenyewe ikala 600m! second hatujashuhudia kazi ya tume ikifanyiwa kazi unless kuwe hakuna maslahi ya wakubwa. eg ya kina mwakyembe jamaa aliiunda maksudi kuwafisha upande wa pili, sio kuwa imezaa matunda,why mambo muhimu km tume ya warioba, nyalali, kisanga hazijafanyiwa kazi? migodini etc! ni kudanganyana km watoto, hapa onatakiwa umekwenda kinyume na maadili out na kufilisiwa, kwani watz kibao kutake over, next yrs tunachapa risasi km china!!
 
Aliliambia Bunge kuwa anathamini mchango wa mbunge huyo na kwamba isingekuwa rahisi kwake kufahamu jambo hilo kwa kuwa kinachoiunganisha wizara yake na Tanesco ni Bodi ya Wakurugenzi wa shirika hilo.


Hapa Waziri najua unapendekeza wajumbe wa bodi. pia kamishna wa nishati lazima awe kwenye hiyo bodi. Ina maana hukuambiwa hili na bodi au halikupata baraka za bodi?
 
Dada Belinda, kwa maoni yangu tume ya nini?. Hayo matumizi ya Tanesco yanatawaliwa na sheria, taratibu na kanuni. Kama sheria zilifuatwa tatizo liko wapi?. Kama zilikiukwa ni suala la uwajibikaji, kuna mahali Tanesco inawajibika, wahusika wawajibishwe. Tume ya nini hapa?/
Kama sheria zimefutwa, hakuna cha ajabu kukakarabati nyumba kwa milioni 600 na kitoa sadaka kwa boss kwa kifuta jasho cha milioni 60.
Mbona zile nyumba za oysterbay walizojiuuzia wakubwa, wameuziwa kwa milioni 2-4. ofisi zao zikawakarabatia kwa mamilioni. Thamani ya viwanja vywenyewe tuu ni zaidi ya bilioni, cha muhimu ni jee sheria taratibu na kanuni zilifuatwa?. Hivi kweli tunaunda tume kuchunguza the obvious!? its a waste of time and money.
 
Yaani huko Tanesco kuna uozo kweli kweli wa ufisadi, naomba tu hiyo tume iundwe ili angalau ufisadi upungue.
Pretty,
Tume ngapi zimeundwa na bado zikatetea ufisadi? Siamini kama tume zinasaidia kupunguza ufisadi, badala yake ni ufisadi juu ya ufisadi.
 
Mnanichekesha kweli mnapomuita ni rais mwoga kuchukua hatua.
Ukweli ni kwamba si mwoga bali ni rais mshiriki kwa asilimia mia moja katika ufisadi huu. Sasa atajisurubu mwenyewe?
Mbona hamuelewi?
 
Ni kupoteza fedha za walipa kodi kuunda tume juu ya tume zilizokwisha maliza kazi na kutoa ushauri ambao mpaka leo haujatekelezeka.
Kuna Mkuu ameuliza hivi huko majuu wanafanyaje? Swali zuri sana. Nchi zenye utawala unaofuata sheria sawasawa haihitaji kuunda tume kwa mambo kama haya, Taasisi mfano kamaTakukuru ilitakiwa iwajibishwe mara moja, ndiyo maana ya kuwepo hiyo taasisi, sasa tume za nini tena? hizi tume nyingine huongeza hata muda wa kazi kuendeleza ulaji. Bongolalalaaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…