Serikali yautetea Muswada wa sheria ya Umeme

Serikali yautetea Muswada wa sheria ya Umeme

seems hapa wengi wanachanganya ubinafsishaji wa Tanesco na hiyo bill iliyo letwa na serikali,its all about kuondoa monopoly ya kampuni moja inayoitwa Tanesco siamini mpaka leo miaka karibu 50 ya uhuru bado tunatetea sheria za kinyonyaji kama za kuipa Tanesco monopoly,yaani leo nina pesa zangu na siwezi kuanzisha kampuni yangu ya kuzalisha/kuuza umeme eti kwa sababu wanaoruhusiwa kufanya hivyo ni kampuni moja tuu ya Tanesco.
 
seems hapa wengi wanachanganya ubinafsishaji wa Tanesco na hiyo bill iliyo letwa na serikali,its all about kuondoa monopoly ya kampuni moja inayoitwa Tanesco siamini mpaka leo miaka karibu 50 ya uhuru bado tunatetea sheria za kinyonyaji kama za kuipa Tanesco monopoly,yaani leo nina pesa zangu na siwezi kuanzisha kampuni yangu ya kuzalisha/kuuza umeme eti kwa sababu wanaoruhusiwa kufanya hivyo ni kampuni moja tuu ya Tanesco.

Koba:
Nadhani mimi na wengine pia tumekuelewa vizuri kabisa kuhusu monopoly ya Tanesco, na hatupingi unayoyasema.

Kitu ambacho mimi naona kina utata ni 'timing' ya mswada huu; pamoja na kutokuwa na imani na nia ya hawa wanaouleta mswada wenyewe. Watu sasa wamekuwa waoga, kwani wanasoma hila katika kila jambo linalofanywa na serikali hizi za ccm.
 
Koba:
Nadhani mimi na wengine pia tumekuelewa vizuri kabisa kuhusu monopoly ya Tanesco, na hatupingi unayoyasema.

Kitu ambacho mimi naona kina utata ni 'timing' ya mswada huu; pamoja na kutokuwa na imani na nia ya hawa wanaouleta mswada wenyewe. Watu sasa wamekuwa waoga, kwani wanasoma hila katika kila jambo linalofanywa na serikali hizi za ccm.

YOUR TRUE; NA NDIYO MAANA NIKASEMA WASUBIRI KIDOGO JAPO TUANUE MATANGA
 
seems hapa wengi wanachanganya ubinafsishaji wa Tanesco na hiyo bill iliyo letwa na serikali,its all about kuondoa monopoly ya kampuni moja inayoitwa Tanesco siamini mpaka leo miaka karibu 50 ya uhuru bado tunatetea sheria za kinyonyaji kama za kuipa Tanesco monopoly,yaani leo nina pesa zangu na siwezi kuanzisha kampuni yangu ya kuzalisha/kuuza umeme eti kwa sababu wanaoruhusiwa kufanya hivyo ni kampuni moja tuu ya Tanesco.

Unajua maana ya Monopoly?? Tanesco is a monopoly are U kidding me???

Tanesco ilivyo sasa hivi ni wakala wa kukusanya pesa za IPTL, Songas, Dowans, Alstom, Aggreko na soon mother of all KIWIRA.

Bwana Koba kinachotokea sasa hivi ni hiki:::

Total collection per month ~~~~~ 17 billion
Money paid to IPTL, SONGAS blah ~~~15 billion
Tanesco expenses ~~~~~~~~~~~~~~~~~~17 billion

Kumbuka hao kina IPTL, SONGAS wanalipwa bila hata kuzalisha umeme.

Kwa hiyo kama hiyo ndio monopoly Tanesco iliyonayo, I rest my case and won't discuss anymore.
 
Unajua maana ya Monopoly?? Tanesco is a monopoly are U kidding me???

Tanesco ilivyo sasa hivi ni wakala wa kukusanya pesa za IPTL, Songas, Dowans, Alstom, Aggreko na soon mother of all KIWIRA.

Bwana Koba kinachotokea sasa hivi ni hiki:::

Total collection per month ~~~~~ 17 billion
Money paid to IPTL, SONGAS blah ~~~15 billion
Tanesco expenses ~~~~~~~~~~~~~~~~~~17 billion

Kumbuka hao kina IPTL, SONGAS wanalipwa bila hata kuzalisha umeme.

Kwa hiyo kama hiyo ndio monopoly Tanesco iliyonayo, I rest my case and won't discuss anymore.

Mkuu

Naona Koba wakati nikiwa mwalimu kipindi fulani nisingelikubali amalize ningekamata tu.

Watu wooote tangia jana wanaelewa vizuri hili somo.

wabunge woote wanaelewa hili somo. tatizo lako na ngeleja hamutaki kuelewa kipindi tulichopo. Ni kipindi kigumu inahitaji muda na kurudusha imani basi tu. Usishangae kipindi hiki mambo mengi yakakwama.
 
Unajua maana ya Monopoly?? Tanesco is a monopoly are U kidding me???

Tanesco ilivyo sasa hivi ni wakala wa kukusanya pesa za IPTL, Songas, Dowans, Alstom, Aggreko na soon mother of all KIWIRA.

Bwana Koba kinachotokea sasa hivi ni hiki:::

Total collection per month ~~~~~ 17 billion
Money paid to IPTL, SONGAS blah ~~~15 billion
Tanesco expenses ~~~~~~~~~~~~~~~~~~17 billion

Kumbuka hao kina IPTL, SONGAS wanalipwa bila hata kuzalisha umeme.

Kwa hiyo kama hiyo ndio monopoly Tanesco iliyonayo, I rest my case and won't discuss anymore.


.......wow,no wonder we are facing challenges from every angle in this discussion,kumbe hata sheria za umeme za sasa na monopoly ya Tanesco hujui,seems the fundamental problem ya matatizo ya umeme TZ huelewi,na ujue link ya hiyo mikataba ya kifisadi kati ya Tanesco na hayo makampuni uliyoyataja ni kwa sababu ya sheria za sasa na hakuna kingine,mambo ya ajabu sana kutetea sheria zilizoshindwa kuleta umeme kwa 90% of the population na mzigo mkubwa kwa walipa kodi huku umeme ukiendelea kuwa bei mbaya kila siku,
 
Mkuu

Naona Koba wakati nikiwa mwalimu kipindi fulani nisingelikubali amalize ningekamata tu.

Watu wooote tangia jana wanaelewa vizuri hili somo.

wabunge woote wanaelewa hili somo. tatizo lako na ngeleja hamutaki kuelewa kipindi tulichopo. Ni kipindi kigumu inahitaji muda na kurudusha imani basi tu. Usishangae kipindi hiki mambo mengi yakakwama.

...kwa mawazo kama haya,mgao ni order of the day for the next 50 yrs!
 
...kwa mawazo kama haya,mgao ni order of the day for the next 50 yrs!

Koba

Naona wewe mugumu kweli kweli hayo unayoyaeleza watanzania wote wanayajua. Suala la Umuhimu wa umeme unajulikana kabisa hilo halina shaka. Serikali ikiona imepeleka kitu ambacho ni cha wazi wawakilishi wa wananchi wakakikataa na pia wakarudi kwa wananchi waliowatuma wakakubaliana na walicho kikataa ujue kuna tatizo mahala fulani.

Na kwa suala hili tatizo ni serikali kuna msigano mkubwa kati ya watawala na watawaliwa basi, mengine tutaongea mpaka tutajaza kurasa lakini cha kuelewa hapa ni kuwa serikali yetu iko katika tatizo ambalo linahitaji suluhu.

Wabunge walitoa mawazo yao ni wajibu wa waziri muhusika kukaa chini akaitikia mawazo ya wabunge ndo muswada upitishwe.

Kwa hali halisi ilivyo labda wakae kama chama waseme asiyekubali aachie ngazi ya ubunge ambalo najua atakaye kataa kukubaliana nao atakuwa kidedea.

Kwa hiyo mkuu Koba umeeleweka na pia wachangiaji wote hawajakupinga sana hila wewe husomi alama za nyakati tulizo nazo sasa.

Kwa kifupi huna haja ya kusoma mikataba, vitabu vingi nk kujua kuwa serikali yetu kwa sasa haikubaliki kwa wananchi kutokana na madoa mbali mbali yaliyotokea inahitaji muda kuyaondoa.

Hata ndani ya chama tawala kuna baadhi(tena wengi) hawaamini waliyoyaona/matukio yaliyopita.
 
Back
Top Bottom