Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Serikali imevunja vibanda vya wafanyabiashara wadogo waliokuwa wanafanya biashara hizo katika stendi ya Kawe. Hali ya kushangaza mabanda hayo yamevunjwa usiku na kwa sasa polisi wanaranda kuona kama kuna ghasia yoyote kutokana na tukio hilo
Japo kuna raia walioathiriwa na tukio hilo kwa vitu vyao kupotea, kuharibiwa au kuibwa, wananchi wamesema walipewa tangazo la kuhama siku tatu zilizopita lakini wamedai hawakuoneshwa sehemu ya kwenda kufanya biashara.
Ni wangapi wanarudi kwenye umasikini
Japo kuna raia walioathiriwa na tukio hilo kwa vitu vyao kupotea, kuharibiwa au kuibwa, wananchi wamesema walipewa tangazo la kuhama siku tatu zilizopita lakini wamedai hawakuoneshwa sehemu ya kwenda kufanya biashara.
Ni wangapi wanarudi kwenye umasikini