Serikali yawataka wakazi zaidi 7000 wanaoishi eneo la Bondo, Handeni mkoani Tanga kuondoka katika eneo hilo

Tayar.jeshi (jwtz) walimwaga zaidi ya magari 25 ya jw yalipelekwa bondo wamechoma nyumba za watu mazao na kufyeka mazao yaliyoko mashambani.watu wengi walipigwa sna na kuumizwa.matumizi mabaya ya risasi za moto pasipo sababu.mali nyng za watu ziliteketezwa na kunyanganywa na maaskari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…