jamani wanaJF ebu naomba muelewe kitu kimoja, serikali hadi sasa imeshindwa kulipia wanafunzi wa UDSM, ikawa habari nzito kweli mpaka vyama vya upinzani vikaingilia, lakini hadi sasa serikali haijafanya chochote ndio kwanza ikachukua hatua ya kuwalipisha faini ili warudi madarasani, sasa mnaniambia serikali hiyo hiyo inaweza ikawalipia wanafunzi hao wa ukraine ? ebu niambie ikifanya hivyo, serikali itaeleweka vp ? naelewa sana matatizo wanayopata hawa wanafunzi, i understand that. lakini basi tusiangalie upande mmoja, lets look @ both ways !
that being said, sidhani na sina moyo kabisa kama serikali hii hii iliyoweza kukalia kimya kilio cha wanafunzi wa mlimani ikaweza kusikiliza kilio cha hawa wanafunzi wa ukraine. therefore, kilichobaki ni either warudi nyumbani AU mpitishe michango kwa wabongo wote walio ughaibuni ( it might OR might not work ) sidhani kama watu watakuwa na moyo huo wa kuchangia pesa zooote kwa ajili ya wanafunzi woote hao na kwa muda wote huo pamoja na pesa za chakula, malazi, hospitali, usafiri n.k !!
AU njia ya 3 kama hiyo ya kwanza haitafanya kazi ( yaani wanafunzi warudi nyumbani ) na ya pili haikufanya kazi, which am pretty sure it wont work ( hiyo ya fundraising ) basi tunaweza kuendelea na hiyo kampeni ya kusema huyo dk. msolla ( sijui kama ndiye yeye ) ajiuzulu !!
Remaining option kubwa ni wao kurudi nyumbani tu !!