Serikali za kiafrika zingeweza kuvumilia hili? Hapa waandamaji wangepewa kesi ya uhaini

Serikali za kiafrika zingeweza kuvumilia hili? Hapa waandamaji wangepewa kesi ya uhaini

Exile

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2021
Posts
1,477
Reaction score
3,642
Hii ni video inaonyesha waandamanaji wanaounga mkono palestina wakiwa karibu na makazi binafsi ya katibu wa serikali ya marekani (waziri wa mambo ya nje) antony blinken wakimwagia vimininika vyenye rangi nyekundu karibu na gari la blinken.

Cha ajabu kwa sisi waafrika hao waandamanaji hayupo hata mmoja aliyekamatwa ingekuwa afrika tayari tungeona defenda na polisi walioficha sura zao na silaha nzito kuwatisha raia na kukamata waandamanaji, just imagine anafanyiwa january makamba hivi yaani?

 
Labda uwadanganye wengine, na ...

Sio siku hizi taarifa zipo kwenye kiganja.

Kwanini wasivumilie?
 
Tatizo ni ‘perceived dorcility’ ya waandamanaji. Hebu hao waandamanaji wawe kikundi cha vijana wa kiume, hasa hasa vijana weusi kama wavuta bamgi flani wenye nguo za kihunihuji uone...., watapigwa kama mbwa..

Ila kwakuwa hao ni wamama wamama wa kizungu, hakuna atakaewagusa.., they are harmless, pia ni wachache sana..
 
Labda uwadanganye wengine, na ...

Sio siku hizi taarifa zipo kwenye kiganja.

Kwanini wasivumilie?
Niwadanganye kivipi? Hebu nieleweshe nimedangamyage mkuu
 
Tatizo ni ‘perceived dorcility’ ya waandamanaji. Hebu hao waandamanaji wawe kikundi cha vijana wa kiume, hasa hasa vijana weusi kama wavuta bamgi flani wenye nguo za kihunihuji uone...., watapigwa kama mbwa..

Ila kwakuwa hao ni wamama wamama wa kizungu, hakuna atakaewagusa.., they are harmless, pia ni wachache sana..
Hata ingekuwa hivo bado kwa serikali za afrika ni ngumu kuna siku BAWACHA waliandamana nahisi kudai katiba mpya unakumbuka yule mama alikaa siku ngapi polisi?
 
Hata ingekuwa hivo bado kwa serikali za afrika ni ngumu kuna siku BAWACHA waliandamana nahisi kudai katiba mpya unakumbuka yule mama alikaa siku ngapi polisi?
Walikuwa wamevaa kimama mama kabisa?! Basi hapo wanakosea sana
 
Walikuwa wamevaa kimama mama kabisa?! Basi hapo wanakosea sana
Kwenye uvumilivu serikali nyingi hawawezi mfano unaenda iran na bendera ya israel au unaenda misri na bendera ya israel polisi watakuacha hata kama unaandamana bila fujo
 
Niwadanganye kivipi? Hebu nieleweshe nimedangamyage mkuu
Basi kama hudanganyi.

Tuwekee kisa kimoja tu cha kiongozi au serikali ya Kiafrika ambayo ilijikuta katika situation kama hiyo ya "Katibu" au January na waandamanaji wakakamatwa na kupewa kesi ya Uhaini?
 
Hii ni video inaonyesha waandamanaji wanaounga mkono palestina wakiwa karibu na makazi binafsi ya katibu wa serikali ya marekani (waziri wa mambo ya nje) antony blinken wakimwagia vimininika vyenye rangi nyekundu karibu na gari la blinken.
Cha ajabu kwa sisi waafrika hao waandamanaji hayupo hata mmoja aliyekamatwa ingekuwa afrika tayari tungeona defenda na polisi walioficha sura zao na silaha nzito kuwatisha raia na kukamata waandamanaji, just imagine anafanyiwa january makamba hivi yaani?
View attachment 2862283
Hao wazungu wako wamemvumilia TRUMP????
 
Hii ni video inaonyesha waandamanaji wanaounga mkono palestina wakiwa karibu na makazi binafsi ya katibu wa serikali ya marekani (waziri wa mambo ya nje) antony blinken wakimwagia vimininika vyenye rangi nyekundu karibu na gari la blinken.
Cha ajabu kwa sisi waafrika hao waandamanaji hayupo hata mmoja aliyekamatwa ingekuwa afrika tayari tungeona defenda na polisi walioficha sura zao na silaha nzito kuwatisha raia na kukamata waandamanaji, just imagine anafanyiwa january makamba hivi yaani?
View attachment 2862283
Africa imelaaniwa haswa
 
Back
Top Bottom