Habari ndugu!
Kuna kero inaendelea huku Tegeta Msigani kwenye Mto wa Kinondo. Mwenyekiti wa CCM wa Serikali za Kijiji amezidiwa tamaa ya pesa na mapolisi wa Madale. Kuna wachota mchanga kwenye bonde ambapo sasa hivi limepanuka zaidi na kuwa mto, hivyo wanafunzi wanaosoma Msigani Primary wapo kwenye hatari ya kupoteza maisha pamoja na wakazi wa maeneo hayo. Hata hivyo, bado wanaruhusu mchanga kuendelea kuchotwa pale.
Pia, mapolisi wa Madale mara nyingi wameonekana wakifata rushwa na kuacha shughuli hiyo iendelee, hivyo kuharibu barabara na miundombinu mingine. Serikali tunaomba mkaliangalie hili, aswa gwajima litakufelisha sana. Wananchi wanahasira na wewe.
Tusaidieni.
Kuna kero inaendelea huku Tegeta Msigani kwenye Mto wa Kinondo. Mwenyekiti wa CCM wa Serikali za Kijiji amezidiwa tamaa ya pesa na mapolisi wa Madale. Kuna wachota mchanga kwenye bonde ambapo sasa hivi limepanuka zaidi na kuwa mto, hivyo wanafunzi wanaosoma Msigani Primary wapo kwenye hatari ya kupoteza maisha pamoja na wakazi wa maeneo hayo. Hata hivyo, bado wanaruhusu mchanga kuendelea kuchotwa pale.
Pia, mapolisi wa Madale mara nyingi wameonekana wakifata rushwa na kuacha shughuli hiyo iendelee, hivyo kuharibu barabara na miundombinu mingine. Serikali tunaomba mkaliangalie hili, aswa gwajima litakufelisha sana. Wananchi wanahasira na wewe.
Tusaidieni.