ngaribazezeta
Member
- Dec 11, 2017
- 82
- 47
- Thread starter
- #21
Kazi nzuri maana yake mapato mazuriInaweza ikawa kazi nzuri mshahara mbovu vile vile......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi nzuri maana yake mapato mazuriInaweza ikawa kazi nzuri mshahara mbovu vile vile......
mkuu hao uno watafuta kwa umri huo bado wapo shule mkuu huogopi kufungwaHabari wana jamvi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37, nina elimu ya chuo kikuu na kazi nzuri, nimekamilika biologically, physically.
Kitabia mimi ni binadamu sio malaika. Imani yangu ni Mkristo mkatoliki, ni mwenyeji wa Arusha lakini ninafanya kazi zangu mikoa ya Lindi na Mtwara.
Ninahitaji mwanamke ambaye ameshafanya uamuzi wa kutulia na mume na kutengeneza maisha. Sijali sana sura yake wala umbo ninachojali sana ni akili, ubunifu, bidii kwenye kazi na awe na hofu ya Mungu.
Awe na umri usiopungua miaka 24 na usiozidi miaka 30. Mwanamke aliye serious na anayetaka kunihoji maswali kufahamu chochote zaidi ani PM.
Madalali hawatakiwi
Hili tangazo sijalipeleka shuleni mkuumkuu hao uno watafuta kwa umri huo bado wapo shule mkuu huogopi kufungwa
HUMU WENYE UMRI HUO HAWAPO LABDA FACEBOOK NA INSTHili tangazo sijalipeleka shuleni mkuu
Wa pili ana miaka 5Alikuwa anajenga life kwanza. First born anafikisha 10 years baba ana 47[emoji16] [emoji16]
halafu anataka mtoto wa shule ya sekondari hahahaWa pili ana miaka 5
Baba ana miaka 50
Wanaitana babu
Atamuonea sanahalafu anataka mtoto wa shule ya sekondari hahaha
Kila mmoja na muda wake, kuna wengine waliachia shule primary wakaenda kuoa, hawa nao watakuwa wanakushangaa hata wewe.Duh miaka 37 hujaoa brother. Ni agemate wangu mm nina mke 9yrs
Afunguliwe mashitaka ya kubaka kabisa Uwezo wa kupambanua mambo watakuwa wanatofautiana kabisa. Pia watakuwa na social interactions imbalance.. hawatakuwa wakifanana kwa lolote labda kuingialiana tuAtamuonea sana
Binti 24
Mume 37
37-24=?
Nisaidie hapo hesabu niliacha form two
MmmnnnhhHUMU WENYE UMRI HUO HAWAPO LABDA FACEBOOK NA INST
Mkuu acha nongwaAfunguliwe mashitaka ya kubaka kabisa Uwezo wa kupambanua mambo watakuwa wanatofautiana kabisa. Pia watakuwa na social interactions imbalance.. hawatakuwa wakifanana kwa lolote labda kuingialiana tu