Mkuu unahisi wanaweza endana Hawa mbona maandishi ya huyu Dada na kaka ni tofaiti kabisaaAliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa
Bonyeza hapo juu umuone wa kufanana na wewe
Nashukuru Hajar,nimeridhika kabisa na majibu!
We jimilikishe tu utakiona
Itabidi tu wapambane na hali zao, maana hakuna namna.... tehteehhhMkuu unahisi wanaweza endana Hawa mbona maandishi ya huyu Dada na kaka ni tofaiti kabisaa
Teh teh na kweli hakuna namna hapoItabidi tu wapambane na hali zao, maana hakuna namna.... tehteehhh
Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa
Bonyeza hapo juu umuone wa kufanana na wewe
Ili wapambane na hali zao mkuu. Maana hapa naona mwanaume ameshusha CV kubwa tena kwa kutumia lugha ambayo pengine itasababisha wadada wamuogope.Naona umeamua kuwapambanisha hahahaha
Naona ulikalilishwa maisha n elimu tu pole sana, ukajisahau kujfunza kutongoza na uongo wa faida katka kujpatia papuchi,Iam a : man
Country : Tanzanian
City : Dar es salaam.
Seeking a : Woman
Looking for : Marriage serious. relationship.
Marital status : Single .
Children : No
Wish children : Yes if God. wishes.
Most important
things in life : Looking Mrs right.
Life dream : Iwanna meet great. woman for my life.
Spoken language : English .
Writen language : English .
Name : John
Age : 35yrs old
Height : 160 cm
Weigth : 65kg
Eye colour : Black
Religion : Christianity
Mobile number : +25578393762 1
Education : Bachelor degree
Occupation : Employed.
Smoke. : No
Drink. : No
Hobbies. : Action ,adventure,sport
,music.
MARRIAGE MATCH: woman who accept each other for who they are and what they are,honest,kindness,torerance,fear of God she is allowed.Matching with the following terms.
Age : 25-28yrs old.
Education : diploma & above
Occupation: Self employed/
employed
Children : No
Drink. : No
Smoke : No
Religion : Christianity
Marital status: Never being married
N:B Contact me via my phone number or pm if u interested to be in longterm relationship(marriage)
Ili wapambane na hali zao mkuu. Maana hapa naona mwanaume ameshusha CV kubwa tena kwa kutumia lugha ambayo pengine itasababisha wadada wamuogope.
Na mdada ameandika waraka kwa jeuri na tambo za kuonyesha kwamba havabaishwi, wakati anaonekana ana tatizo la desperation kama sio stress.
Ebu wacha wapambane na hali zao... tehteehhh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa limeshusha lugha ya malikia utadhani sifa.....[emoji12] [emoji12]
Hapo minimeelewa maneno mawili tu, Tanzania na Daresalam.... tehteehhh