Serious Iam looking for a wife

Serious Iam looking for a wife

Sema dada zetu wao akina Hajar na ukhuty tayari wamewahiwa vigezo na masharti hapo vimetimia kasoro Religion tu.

Mkuu upo poa lakini
Hahah!! Ata wangekua hawajawahiwa asingepata mtu pale maana jamaa mwenyewe kumbe ni mpya humu ndani na post yake ya kwanza ndio hii sasa hatujapata muda wa kumsoma tabia....

Niko poa hofu kwako
 
Hahah!! Ata wangekua hawajawahiwa asingepata mtu pale maana jamaa mwenyewe kumbe ni mpya humu ndani na post yake ya kwanza ndio hii sasa hatujapata muda wa kumsoma tabia....

Niko poa hofu kwako

Hahahaha mkuu kwa kweli inabidi tuwe makini na familia yetu Mwifwa umekutana nae ?? ukhuty je ?
 
Hahah!! Ata wangekua hawajawahiwa asingepata mtu pale maana jamaa mwenyewe kumbe ni mpya humu ndani na post yake ya kwanza ndio hii sasa hatujapata muda wa kumsoma tabia....

Niko poa hofu kwako
Mkuu wakati mwingine ni ngumu saana kumjua tabia mtu kwa post zake humu,wakati mwingine kuna tunayoyaandika humu lakini in real life ni tofauti kabisa!
 
Mkuu wakati mwingine ni ngumu saana kumjua tabia mtu kwa post zake humu,wakati mwingine kuna tunayoyaandika humu lakini in real life ni tofauti kabisa!
Nikweli kabisa mkuu sibishi lakini najua kuna mawili matatu unaweza ukapata yakakupa muongozo kidogo...
 
Mwifwa anajikwepesha kwepesha tu sijui ana shida gani ila jana nilikutananae, ukhuty sijamuona ila Hajar nahisi uwepo wake kabisa mana harufu yake naisikia

Hahahahaha mkuu sister Hajara leo simuelewi kabisa yani ila nahisi leo kaamua kukaa na kitufe cha kulike tu hahahahaha.
 
Mkuu wakati mwingine ni ngumu saana kumjua tabia mtu kwa post zake humu,wakati mwingine kuna tunayoyaandika humu lakini in real life ni tofauti kabisa!

Mkuu hilo mbona lipo sana tu hata stori za vijiweni utakuta masela wanapigisha stori mimi Napiga mwanamke goli sita kumbe kutoa tano hahahahaha
 
Back
Top Bottom