Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akupe hitaji la moyo wako!!
Hahah!! Ata wangekua hawajawahiwa asingepata mtu pale maana jamaa mwenyewe kumbe ni mpya humu ndani na post yake ya kwanza ndio hii sasa hatujapata muda wa kumsoma tabia....
Huwa najiuliza saana mkuu,huwa nashindwa kutofautisha kwa busara zao,
Mwifwa anajikwepesha kwepesha tu sijui ana shida gani ila jana nilikutananae, ukhuty sijamuona ila Hajar nahisi uwepo wake kabisa mana harufu yake naisikia
Mkuu wakati mwingine ni ngumu saana kumjua tabia mtu kwa post zake humu,wakati mwingine kuna tunayoyaandika humu lakini in real life ni tofauti kabisa!Hahah!! Ata wangekua hawajawahiwa asingepata mtu pale maana jamaa mwenyewe kumbe ni mpya humu ndani na post yake ya kwanza ndio hii sasa hatujapata muda wa kumsoma tabia....
Niko poa hofu kwako
Naona analike tu,lakini kagoma kutoa neno kabisa!Mkuu mimi mwenyewe humu mgeni huyo mwingine mie simjui ila namjua tu Hajara ambae kanikubali niwe Mdogo wake kwa busara zake nampenda sana.
Nikweli kabisa mkuu sibishi lakini najua kuna mawili matatu unaweza ukapata yakakupa muongozo kidogo...Mkuu wakati mwingine ni ngumu saana kumjua tabia mtu kwa post zake humu,wakati mwingine kuna tunayoyaandika humu lakini in real life ni tofauti kabisa!
Mwifwa anajikwepesha kwepesha tu sijui ana shida gani ila jana nilikutananae, ukhuty sijamuona ila Hajar nahisi uwepo wake kabisa mana harufu yake naisikia
Ukiona hivyo ujue yupo bize akipata muda mzuri atakuja tuHahahahaha mkuu sister Hajara leo simuelewi kabisa yani ila nahisi leo kaamua kukaa na kitufe cha kulike tu hahahahaha.
Yes!ni kweli kabisa Mkuu!Nikweli kabisa mkuu sibishi lakini najua kuna mawili matatu unaweza ukapata yakakupa muongozo kidogo...
Mkuu wakati mwingine ni ngumu saana kumjua tabia mtu kwa post zake humu,wakati mwingine kuna tunayoyaandika humu lakini in real life ni tofauti kabisa!
Nikweli kabisa mkuu sibishi lakini najua kuna mawili matatu unaweza ukapata yakakupa muongozo kidogo...
Ukiona hivyo ujue yupo bize akipata muda mzuri atakuja tu
Hahaha,kweli kabisa MkuuMkuu hilo mbona lipo sana tu hata stori za vijiweni utakuta masela wanapigisha stori mimi Napiga mwanamke goli sita kumbe kutoa tano hahahahaha
Hii ni kubwa kuliko hadi uzito upo rafiki.Kwa huu uandishi kweli mwana kakusudia
Hahaaa. Nilikuwa nafuatilia kinachoendelea rafiki.Ukiona hivyo ujue yupo bize akipata muda mzuri atakuja tu