Serious man needed baadae awe mume

Mimi umenikosa sababu ya dini yako! Siwezi oa muislamu ata km atakubali kubadiri dini.
 
Changamkieni fursa jamani!!!!inasemekana kuwa mke mwema ni yule aliyeachana na mume wake!!!!!si anatoka kwa bwana!!!!!
 
Loooh
 


njoo kwa mnyamwezi hapa ana sifa hizo
 
Good luck and all the best.


 
Its non of ur business, pita HV wala hutopungukiwa chochote na mm sitafute mume kwa lazima natafuta taratibu na kwa kurelax so kama hii thread haikuhusu pita vile[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]
Dah.... Upole ndiyo sifa mama ya mke[emoji13] [emoji13]
 
26?? Still young asee natafuta kwa kurelax na sikurupuki

Bado hujapata?
Kama bado basi legeza baadhi ya masharti ya kijinga kama sharti la hovyo hovyo la dini,la umri,la wewe ndiyo kujiridhisha mme kama anafaa na sharti la kipuuzi la kupigana mjegeje hadi siku ya ndoa!
Sharti hili la mwisho lingekuwa tu na maana kama wewe ni bikra!
Naweza vumilia nisipige hadi ndoa lkn siku ya kupiga nakuta kitu bwawa!Nitachukia sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…