Serious man needed baadae awe mume

Serious man needed baadae awe mume

uspanic miss charming wawezakosa mume...
maswali mengne ni ya makusud na ya kukukera,lakin lengo sio kukukera ila mtu anakupima vitu ving ikiwemo busara zako,uvumilivu wako,subira zako hasa wakat wa maudhi.
hivyo kila comment ichukulie in positive way hapo itakusaidia na sio in negative way...
Lakin pia jokin haifai maana dada huyu yuko serious therefore she need also a serious one.
Asante kwa ushauri lakin pia mtu mstaarabu comment yake inajulikana na hata kama anachallenge utajua huyu mtu ni wa diazain gani.. Kwahiyo mm namjibu mtu kulingana na yeye alivokuja maana kuna watu wanachukulia watu wengine poa tu
 
Asante kwa ushauri lakin pia mtu mstaarabu comment yake inajulikana na hata kama anachallenge utajua huyu mtu ni wa diazain gani.. Kwahiyo mm namjibu mtu kulingana na yeye alivokuja maana kuna watu wanachukulia watu wengine poa tu
Mungu akupe wepes ktk issue yko....
 
Ww lete tu hizo sifa zako na miaka inaenda itafika wakati utahitaji mme na sio sifa tena
 
Kutofanya mapenzi hadi kufunga ndoa nawe asikuhudumie chochote hadi mfunge ndoa.
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe

Umekuwa Sasha Obama?
 
Mimi hapo kwenye tungi tu ndiyo umenifelisha. Ila waweza kuni customize kwa kuniwekea maziwa ya nguruwe kwenye bia basiii hapo utakuwa na yule hubby umtakaye
 
Real man bila kuchochana dadaangu, karne hii utakunywa sana spar-letta bar. Hao uliowapa mwanzoni bila masharti magumu walikuwa miungu ama binadamu kama sisi tu?
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
Hapo unaweza subiri sana,ushauri umri unaenda elimu so kigezo,hata kama umemzidi elimu kubali man's wengine hawana elimu lakini wako vizuri sana kiuchumi na katika mapana mengine
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
0656406233
 
Back
Top Bottom