Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea na maombi [emoji12] [emoji12]Hebu nijibu nilale na amani tafadhali...
Asante kwa ushauri lakin pia mtu mstaarabu comment yake inajulikana na hata kama anachallenge utajua huyu mtu ni wa diazain gani.. Kwahiyo mm namjibu mtu kulingana na yeye alivokuja maana kuna watu wanachukulia watu wengine poa tuuspanic miss charming wawezakosa mume...
maswali mengne ni ya makusud na ya kukukera,lakin lengo sio kukukera ila mtu anakupima vitu ving ikiwemo busara zako,uvumilivu wako,subira zako hasa wakat wa maudhi.
hivyo kila comment ichukulie in positive way hapo itakusaidia na sio in negative way...
Lakin pia jokin haifai maana dada huyu yuko serious therefore she need also a serious one.
Mungu akupe wepes ktk issue yko....Asante kwa ushauri lakin pia mtu mstaarabu comment yake inajulikana na hata kama anachallenge utajua huyu mtu ni wa diazain gani.. Kwahiyo mm namjibu mtu kulingana na yeye alivokuja maana kuna watu wanachukulia watu wengine poa tu
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
[emoji3] [emoji3] una utani wewe, kuna vitu vya kubadilisha lakin sio diniHaaaaa mchukuwe utabadili dini bwana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] sasa mkuu ww utakuwa mtu wa aina gani, kweli umekosa hata sifa moja ya uongo na kweli...Duh sina kigezo hata kimoja
Hapo unaweza subiri sana,ushauri umri unaenda elimu so kigezo,hata kama umemzidi elimu kubali man's wengine hawana elimu lakini wako vizuri sana kiuchumi na katika mapana mengineHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
Amiin[emoji120] [emoji120]Mungu akupe wepes ktk issue yko....
0656406233Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe