serious man to build a family!

habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!

Mimi nipo serious, labda tu uniambie una hitaji vigezo gani zaidi ya kumcha Mungu, im a christian. cha msingi niambie about ur self, waweza tuma hata private sms nitakujbu. im serious
 
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!

Huu unafiki wa sijui mcha mungu ndio umekufikisha wewe na wadhaifu wenzio hapo mlipo.
 

punguza ukweli
 
Mimi niko tayari ila nina mtoto mmoja wa kiume na miaka ninayo 34 nafanya kazi karibu sana
 
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!

Utaamini vp kama nipo serious? mimi najiamin naomba tuwasiliane tufaamiana then ukisha hakiki kama nipo serious na na tukipendana kweli basi tuanza uhusiano na kujenga familia coz na mm natafuta serious girl.

emmanuelvitalis@tanzaniamail.com
 
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!

Japo hujashusha sifa za mtu unayemtaka, ni-pm, tuchek posbilitiez.
 
habarini wana jf,kutokana na kila cku wanaume kuumiza wanawake nimeamua kutumia fursa hiii kumtafuta serious man ambaye atakuwa na hekima maarifa ya maisha na awe mcha mungu!welcom atakaye kuwa serious ntampa contact!

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

 
Mtu makini mwenye akili timamu na fikra pevu hawezi kuleta utani katika kitu cha maana, jamani kwa ambaye hayoku tayari kuliko kuanza kuandika utani na kwenda nje ya mada mngenyamaza,mwenzenu anashida hivyo anataka aliyeko tayari wawasiliane.
Kama huna vigezo mpotezee
 
loreeen umeona eeeh
ungewekeza toka zamani yote haya yasingekukuta ,ungehamia tu upande wa pili kilaiini,
next time uhakikishe benchi kuna wawili watatu.
we ni kuingiza tu kitu uwanjani majeruhi yakitokea

kumshauri mwenzako awe na kidumu/spare tyre sio mzuka,kwani na******* ziko mbili au tatu?tumepewa moja moja kwa ajili ya mmoja
 
duh isingekua ka 20 kangu ningekuja huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…