Serious Married man needs a right woman

Serious Married man needs a right woman

Nasubiri mwendeleze malumbano kisha nitawajibu siku ya kutangaza rasmi kuwa nimempata. Karibuni tuendelee.
 
PakaJimmy Nakuheshimu wewe acha kunizengua! Sasa haya marumbano!! kwani umeambiwa kuna kikomo cha kuoa kwa mwanaume?!
Reply will be to the serious needed only.

naona humu ndani watu wanataka kulazimisha imani/mila zao ndio ziwe za wote.
kuna watu katika jamii walizomo kuoa zaidi ya mke mmoja ni ruksa. huko india ipo
jamii mwanamke kuolewa na zaidi ya mme mmoja ni ruksa pia. hapo kenya ipo jamii
mwanamke anamsisitizia mme aongeze mke.

rahajipe nakutakia mafanikio ili moyo wako uliovunjika upate tengamaa.
 
Yoote tunayasema lakini ukweli uko palepale, kuoa mke mmoja hadi kumi hakukuanza leo! rejea katika vitabu vitakatifu. Heri wanaoyaweka mapungufu yao hadharani kuliko nyie mnaofanana na mtu anayejaribu kuficha kaa la moto mfukoni mwa suruali aliyoivaa, wenye maswahiba wapo wengi na kwa kila jinsia naamini kuwa wale walionielewa watanifuata.
Nakuelewa sana bro. All I can say is POLE!
 
Back
Top Bottom