Serious Married man needs a right woman

Nasubiri mwendeleze malumbano kisha nitawajibu siku ya kutangaza rasmi kuwa nimempata. Karibuni tuendelee.
 
PakaJimmy Nakuheshimu wewe acha kunizengua! Sasa haya marumbano!! kwani umeambiwa kuna kikomo cha kuoa kwa mwanaume?!
Reply will be to the serious needed only.

naona humu ndani watu wanataka kulazimisha imani/mila zao ndio ziwe za wote.
kuna watu katika jamii walizomo kuoa zaidi ya mke mmoja ni ruksa. huko india ipo
jamii mwanamke kuolewa na zaidi ya mme mmoja ni ruksa pia. hapo kenya ipo jamii
mwanamke anamsisitizia mme aongeze mke.

rahajipe nakutakia mafanikio ili moyo wako uliovunjika upate tengamaa.
 
Nakuelewa sana bro. All I can say is POLE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…