Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ungekua wew,,ungetoa jicho kisa aifoni😰si bora ingekua tecno Pop 2We mwanamke unanongwa sana yani baada ya kuniomba iPhone 15 nikakuomba jicho ndo umeamua kuja kunichafua huku?
sasa sitakufaidi kijana wangu,, unajua nkifka 50 sitahis utamu tenaUtakuepo tena ukiwa umenoga kabisa umerudi utotoni.
Mxiuuu,, kijana la ovyo hili🤣Hapana me najua ntakushika wapi Bibi usijali.
sawa basi nitashuhudia nkizeekaKweli tena hayo mambo madogo tu na ushuhudu upo.
AmenJah bless 🙌 amepona.
ebu nipishe huko,,kwanza vip ulipata mubebe😌Karibu sana hata sasa unakaribishwa kwa Mazoezi.
jaman,,sasa unataka waolewe na nani,,hebu tulia chagua 1 ufunge uzi wakoAah zilikuja pisi mbovumbovu hazijui hata kuandika Bibi yangu, nikaogopa wataniharibia watoto.
Toka,,siji tena,,ushanikataa kwa nguvu vile, endelea na watoto wenzioNimeurejea huu uzi nijaribu tena bahat kwa mara ya mwisho, ila ningepata hata nshangazi kama wewe me ningeoa tu nasikia hamsumbui.