sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Toka ahamie dodoma kafichwa na watoto wa kigogo aseeh
Ndio maana fujo zimepungua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Toka ahamie dodoma kafichwa na watoto wa kigogo aseeh
umenipa mzuka mkuu... ngoja nimfuate tena!!!Teh uoe ugundue nini? Mwenyewe hajataka ndoa .....anataka happiness.
Katulizwa huyo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ndio maana fujo zimepungua
Kila la kheri.....umenipa mzuka mkuu... ngoja nimfuate tena!!!
mkuu nimekata kiingereza huko hatari tupu nimekitolea google... yaan nimefunua funua atajua mwenyewe mi mwenyewe sijui nimeandika nini.... ha!!! ha!!! ha!!!Kila la kheri.....
Teh ngoja aingie king.....aone motomkuu nimekata kiingereza huko hatari tupu nimekitolea google... yaan nimefunua funua atajua mwenyewe mi mwenyewe sijui nimeandika nini.... ha!!! ha!!! ha!!!
Happy born day King Mswati IIIToka ahamie dodoma kafichwa na watoto wa kigogo aseeh
Mzee wa Baraza anasoma upepo kwanza ili azame.....so ni mwendo wa kumtisha tuu....Ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu???
Ila wee jamaa umepinda sana.mkuu nimekata kiingereza huko hatari tupu nimekitolea google... yaan nimefunua funua atajua mwenyewe mi mwenyewe sijui nimeandika nini.... ha!!! ha!!! ha!!!
I'm interested njoo pm tuyajengemimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 32 ,dini muislamu ni mwajiriwa wa serikali kada ya Elimu, nafanya kazi halmashauri ya jiji la mwanza, natafuta mwanamke aliye serious kuolewa na kuwa na maisha yake.
sifa za mwanamke nimtakaye
1 Awe muislamu anaye ijua dini
2 umri miaka 22 mpaka 30
3 Elimu kidato cha nne na kuendelea
4 mwajiriwa au sio mwajiriwa ila awe no uwezo wa kuwa mjasiliamali
aliye Tayari ani pm tuwasiliane, Kama hauusiki usi comment,niko serious na sio utani,