Chura yupo??? 🤔I am a lady of 25 yrs old... nimeajiriwa In a private sector. Mrefu, mwembamba & maji ya kunde.
Unatafuta wa maonesho? Kama siyo hizi characters ni za kazi gani? Usikute ukapishana na andunje wako uliyepangiwa na Mungu. Punguza vigezo utaishia kuwa single mama au jamvi la uani.Awe Mrefu, Rangi yoyote,
Mimi mwislamu huru, naomba tuwe wapenziHello,
I am a lady of 25 yrs old, nimeajiriwa In a private sector. Mrefu, mwembamba & maji ya kunde.
Ni mkristo (Anglican).
Natafuta mwanaume ambae atakuwa rafiki then mchumba na Mungu akijaalia awe mume.
Awe Mrefu, Rangi yoyote, Mkristo, mwajiliwa/ aliejiajir, akiwa na mtoto pia ni sawa, awe mkweli na serious kwa mahusiano, Age range ya 30-45.
Karibu PM
Ilo hawez kukujibu sanasana atakudanganya we muulize km ni single maza au?Ulishawahi kuwa na mahusiano kabla??