acha hizo mzee,man upSasa c usimame kanisani useme unahitaji mume na vigezo utaje
Kama una sifa hizi zifuatazo; Mzuri wa sura, umbo na tabia! Umri 30's! Mweupe au maji ya kunde! Mrefu wa wastani! Mpole, mnyenyekevu, mwaminifu, mvumilivu, mpenda maendeleo, mwenye upendo wa kweli, unajitambua, nk.Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa
Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Najishughulisha na upumuaji, vipi utakubali?anaejishughulisha
Kwani wacumba wote hupatikana kanisani , mahusiano huanza kiajabuajabu hakuna formular na sehemunyoyote waweza kupata ubavu wakoSasa c usimame kanisani useme unahitaji mume na vigezo utaje
Hawa pasua kichwa wanaowataka hawamo humuNicheki 0767103070 whatsapp
Anayejishughulisha na nini binti?Husijepata mganga ukaleta mjadala mwingine humu. [emoji23]
Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa
Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Kila laheriNaitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa
Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha