Miaka yako tafadhaliNaitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa
Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Mbona una kiherehere kama mke wa baloziSasa c usimame kanisani useme unahitaji mume na vigezo utaje
Ninayo kama yakoUna chura?
Daah jamaa una uchu[emoji23][emoji23][emoji23]Nicheki 0767103070 whatsapp
Yakua serious sana na rafik yamgu kapata mke mzur sana humu jfHivi haya matangazo huwa ni serious kweli?
Atakula ubwabwa,kuku kwa naziAnayejishughulisha na nini binti?Husijepata mganga ukaleta mjadala mwingine humu. [emoji23]
Hapo kwenye kujitambua anaweza akaenda mbali zaidi akawa mjuajiKama una sifa hizi zifuatazo; Mzuri wa sura, umbo na tabia! Umri 30's! Mweupe au maji ya kunde! Mrefu wa wastani! Mpole, mnyenyekevu, mwaminifu, mvumilivu, mpenda maendeleo, mwenye upendo wa kweli, unajitambua, nk.
Basi unitafute haraka pm!
Machura square rootNinayo kama yako
Glory njoo kwangu njoo inbox tuyajengeNaitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa
Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Uko tuwasilianeNaitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa
Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Kama una sifa hizi zifuatazo; Mzuri wa sura, umbo na tabia! Umri 30's! Mweupe au maji ya kunde! Mrefu wa wastani! Mpole, mnyenyekevu, mwaminifu, mvumilivu, mpenda maendeleo, mwenye upendo wa kweli, unajitambua, nk.
Basi unitafute haraka pm!
Mbona una kiherehere kama mke wa balozi
🥵Ninayo kama yako
🤣🤣🤣don’t take so serious like that dada😄Zim Zimma....Mbona una kiherehere kama mke wa balozi