Serious relationship (Mume anahitajika)

Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa

Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Miaka yako tafadhali
 
Kama una sifa hizi zifuatazo; Mzuri wa sura, umbo na tabia! Umri 30's! Mweupe au maji ya kunde! Mrefu wa wastani! Mpole, mnyenyekevu, mwaminifu, mvumilivu, mpenda maendeleo, mwenye upendo wa kweli, unajitambua, nk.

Basi unitafute haraka pm!
Hapo kwenye kujitambua anaweza akaenda mbali zaidi akawa mjuaji
Hapo ndio utajua ndoa ndoano
 
Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa

Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Glory njoo kwangu njoo inbox tuyajenge
 
Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa

Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo
.35-47
.asiwe mume wa mtu
.anaejishughulisha
Uko tuwasiliane
 
Kama una sifa hizi zifuatazo; Mzuri wa sura, umbo na tabia! Umri 30's! Mweupe au maji ya kunde! Mrefu wa wastani! Mpole, mnyenyekevu, mwaminifu, mvumilivu, mpenda maendeleo, mwenye upendo wa kweli, unajitambua, nk.

Basi unitafute haraka pm!

Khaaaa Kama kwalifikeshen za kazi uN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…