Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,628
- 3,535
whats up with the pmmmmmmmmmmmmmm haziendiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
ha ha ha ha,em jaribu kutumia watu wengine pia.....yawezekana kuja kwangu tu ndo haziendi.....l.o.l
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
whats up with the pmmmmmmmmmmmmmm haziendiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
whats up with the pmmmmmmmmmmmmmm haziendiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
ha ha ha ha,em jaribu kutumia watu wengine pia.....yawezekana kuja kwangu tu ndo haziendi.....l.o.l
Mpotezee baki kwa yule tulioongea....Biggie kaoa.....:laugh::laugh:
Hujalipa bili!!!
Hahahahhahaha.......bwana weee....Bigie kanianza...kule inabidi nianze mimi alafu mi siwezi!!!
Usianze wewe,we binti mzuri,una akili,busara,hekima na unajua maisha,kama hakuoni....unampotezea tu na yeye....utapata malaika wako kama Hashy wangu....
There is a say that "there is so many women but few wives"SO i need one from these few jamani!
My introduction-Naitwa john miaka 25,nipo mwaka wa tatu chuo cha mlimani UDSM,kabila langu ni mhee a.k.a kitukuu cha Mkwawa,urefu wangu ni 5.8",si mweupe,si mweusi sitajiri si masikini,
sifa za yule nimtakae-Awe tayari kujuana kitabia kabla ya kuingia kwenye rasmi kwenye mapenzi,awe mvumilivu,mwenye akili ya kujitegemea,awe na mtizamo wa mbele,asiwe wa kutoka kaskazini(samahani)!awe na umri kati ya miaka 20-23,awe natura,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe mkarimu,sura sio ishu,nikimpata aliyekwisha wahi kuumizwa moyo ana nafasi kubwa sana maana nahisi atatulia.
Mawasiliano:Ningependa anitumie email kwanza ndipo nitamtumia namba ya simu kwani siwezi kuidisplay hapa.E-mail yangu ni feyz18@yahoo.com
NOT JOKE......PLIZ BE SERIOUS
Nimeshamlipia,usiseme kwa sauti mama V....
[/SIZE][/B]
never felt up in the air before!
Ndo ajue kweli mwanamke kapata!!!!
Hahahah....basi kue na duel kati ya Bigie na V tuone nani zaidi!!!
Masharti yako ya kuchagua mikoa yamefanya ukose bahati ya kummiliki Firstlady.pamoja na sifa yenu ya kujinyonga,lakini nilishakuwa tayari bila kujali kama iko siku ungeniacha mjane .mie sifa zote ninazo ila hapo kwenye uvumilivu,iwe mengine sio dhiki na shida maana nijilinde kote na urembo kisha nkazeekee kwa mume,hapo siwezi kamwe.umepoteza bahati kubwa
dah!
Naona kismati cha mshkaji kimeshuka.
mi huwa nacheza namba zote......kismati kipi tena hicho?
kismati hakiangalii namba.
Shauri yako hash.
shauri yangu ipi tena?
Kheee Kheee Ankal business as usualhiyo ni mitaa anayoishi hashy, uporoto na ze zefinest. hiyo mitaa zikipita dakika 45 hajanadiwa mwizi basi ujue yesu anarudi siku hiyo. hehehe matajiri tunapeta kweli aisee.