Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Hahahahhahaha.......bwana weee....Bigie kanianza...kule inabidi nianze mimi alafu mi siwezi!!!


Usianze wewe,we binti mzuri,una akili,busara,hekima na unajua maisha,kama hakuoni....unampotezea tu na yeye....utapata malaika wako kama Hashy wangu....
 
Usianze wewe,we binti mzuri,una akili,busara,hekima na unajua maisha,kama hakuoni....unampotezea tu na yeye....utapata malaika wako kama Hashy wangu....



never felt up in the air before!
 
There is a say that "there is so many women but few wives"SO i need one from these few jamani!
My introduction-Naitwa john miaka 25,nipo mwaka wa tatu chuo cha mlimani UDSM,kabila langu ni mhee a.k.a kitukuu cha Mkwawa,urefu wangu ni 5.8",si mweupe,si mweusi sitajiri si masikini,
sifa za yule nimtakae-Awe tayari kujuana kitabia kabla ya kuingia kwenye rasmi kwenye mapenzi,awe mvumilivu,mwenye akili ya kujitegemea,awe na mtizamo wa mbele,asiwe wa kutoka kaskazini(samahani)!awe na umri kati ya miaka 20-23,awe natura,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe mkarimu,sura sio ishu,nikimpata aliyekwisha wahi kuumizwa moyo ana nafasi kubwa sana maana nahisi atatulia.
Mawasiliano:Ningependa anitumie email kwanza ndipo nitamtumia namba ya simu kwani siwezi kuidisplay hapa.E-mail yangu ni feyz18@yahoo.com
NOT JOKE......PLIZ BE SERIOUS

Mwaka wa tatu unaanza filimbi za kuoa? piga kitabu kwanza umalize shule utafute kazi acha haraka na maisha....Ujue bado we ni form 6 graduate? sina nia ya ku-underestimate elimu yako lakini nina wasiwasi kidogo na hii haraka yako ya ndoa.Ukizingatia kuwa mwaka wa tatu ni mwaka busy sana kimasomo...unatia shaka
 
Masharti yako ya kuchagua mikoa yamefanya ukose bahati ya kummiliki Firstlady.pamoja na sifa yenu ya kujinyonga,lakini nilishakuwa tayari bila kujali kama iko siku ungeniacha mjane .mie sifa zote ninazo ila hapo kwenye uvumilivu,iwe mengine sio dhiki na shida maana nijilinde kote na urembo kisha nkazeekee kwa mume,hapo siwezi kamwe.umepoteza bahati kubwa
 
Ndo ajue kweli mwanamke kapata!!!!
Hahahah....basi kue na duel kati ya Bigie na V tuone nani zaidi!!!

ha ha ha ha....ngoja nilifikirie ntakushauri asubuhi.....stay well Lizzy dear.
 
Masharti yako ya kuchagua mikoa yamefanya ukose bahati ya kummiliki Firstlady.pamoja na sifa yenu ya kujinyonga,lakini nilishakuwa tayari bila kujali kama iko siku ungeniacha mjane .mie sifa zote ninazo ila hapo kwenye uvumilivu,iwe mengine sio dhiki na shida maana nijilinde kote na urembo kisha nkazeekee kwa mume,hapo siwezi kamwe.umepoteza bahati kubwa

Pole yake mtoa mada....na ubaguzi wake.....kapoteza sana tu....
 
hiyo ni mitaa anayoishi hashy, uporoto na ze zefinest. hiyo mitaa zikipita dakika 45 hajanadiwa mwizi basi ujue yesu anarudi siku hiyo. hehehe matajiri tunapeta kweli aisee.
Kheee Kheee Ankal business as usual
 
Back
Top Bottom