masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Nimelitafakari hili swala la madawa ya kulevya hapo JK Nyerere Airport, na kuliwazua tena.
Lakini mwishowe naona hali ya kutisha kidogo.
Kwamba imekuwa kawaida kwa madawa kupitishwa hapo "by design" na siyo "by chance", hili limenipa kigugumizi cha mawazo.
Nchi iko uchi.
Kama wale waliopewa dhamana na taifa hili kulilinda tena kwa kiapo, ndio wakaweza kununuliwa na mtandao wa drug lords, hapo napata wasi wasi kwamba, is this the tip of the ice berg?
Uwanjani JKNIA kuna Idara karibu zote nyeti za dola
Kuna Polisi wa kawaida
Kuna Polisi wa kuzuia madawa ya kulevya
Kuna Usalama wa Taifa
Kuna uongozi wa Kiwanja kwa maana ya Wizara ya Uchukuzi/Tanzania Airports Authority(TAA)
Wafanyakazi wa Ndege zinazoruka
Kinachonishangaza ni kwamba hao wote wameweza ku-collude katika hili la madawa ya kulevya, na waka fanya uovu ambao kimsingi ni hujuma.Tukumbuke kuwa Idara hizi nyeti zote zina mamlaka tofauti kila moja, na answerability ni huko huko walikopewa tasks za kufanya hapo kiwanjani JKNIA.
Hapo ndio wasi wasi wangu mkubwa.
Nchi iko uchi.
Je tujiulize , ni kitu gani zaidi kimekwisha kutoka au kuingia, kitu ambacho ni haramu kwa nchi kiusalama?
Nchi iko uchi.
Lakini mwishowe naona hali ya kutisha kidogo.
Kwamba imekuwa kawaida kwa madawa kupitishwa hapo "by design" na siyo "by chance", hili limenipa kigugumizi cha mawazo.
Nchi iko uchi.
Kama wale waliopewa dhamana na taifa hili kulilinda tena kwa kiapo, ndio wakaweza kununuliwa na mtandao wa drug lords, hapo napata wasi wasi kwamba, is this the tip of the ice berg?
Uwanjani JKNIA kuna Idara karibu zote nyeti za dola
Kuna Polisi wa kawaida
Kuna Polisi wa kuzuia madawa ya kulevya
Kuna Usalama wa Taifa
Kuna uongozi wa Kiwanja kwa maana ya Wizara ya Uchukuzi/Tanzania Airports Authority(TAA)
Wafanyakazi wa Ndege zinazoruka
Kinachonishangaza ni kwamba hao wote wameweza ku-collude katika hili la madawa ya kulevya, na waka fanya uovu ambao kimsingi ni hujuma.Tukumbuke kuwa Idara hizi nyeti zote zina mamlaka tofauti kila moja, na answerability ni huko huko walikopewa tasks za kufanya hapo kiwanjani JKNIA.
Hapo ndio wasi wasi wangu mkubwa.
Nchi iko uchi.
Je tujiulize , ni kitu gani zaidi kimekwisha kutoka au kuingia, kitu ambacho ni haramu kwa nchi kiusalama?
Nchi iko uchi.