Seriously nammiss mdogo wangu @amu

Seriously nammiss mdogo wangu @amu

Fixed Point

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2009
Posts
11,304
Reaction score
12,746
jamani ambaye anajua mdogo wangu huyu yuko wapi anipe majibu......
mara ya mwisho kwenye uzi wake wa kummwaga lecturer sikuweza kuongea naye nikasema nitamtafuta siku nyingine.
kwenye uzi wa KakaKiiza, sijui waliishiana wapi maana hata sijaona kama amu alitia jibu pale au la....
nimejaribu kumwuliza KakaKiiza naye inaonekana hajui aliko.....
najaribu kuwaza au yale mashambulizi ya rafiki zangu snowhite na gfsonwin yamemkimbiza jf?
jamani anayejua uwepo wake huyu mdogo wangu chonde chonde anifikishie salamu kuwa dada mkubwa anammiss mno, natamani kuongea naye kidogo jamani.....
 
Last edited by a moderator:
jamani ambaye anajua mdogo wangu huyu yuko wapi anipe majibu......
mara ya mwisho kwenye uzi wake wa kummwaga lecturer sikuweza kuongea naye nikasema nitamtafuta siku nyingine.
kwenye uzi wa KakaKiiza, sijui waliishiana wapi maana hata sijaona kama amu alitia jibu pale au la....
nimejaribu kumwuliza KakaKiiza naye inaonekana hajui aliko.....
najaribu kuwaza au yale mashambulizi ya rafiki zangu snowhite na gfsonwin yamemkimbiza jf?
jamani anayejua uwepo wake huyu mdogo wangu chonde chonde anifikishie salamu kuwa dada mkubwa anammiss mno, natamani kuongea naye kidogo jamani.....
FP nipe hela nianzishe msako...😎
 
Last edited by a moderator:
khaaaaaa! hela tena?
hii nchi hiii, ule ujamaa haupo tena?
nisaidie please!

Mchagga mie..tena umpe mkononi kabisa mwl snowhite as mi mwanafunzi "mtoto halali na hela"
 
Last edited by a moderator:
manoah kapata talaka? mweeeee, dunia hii....

ha ha kamiminwa kweupeeee peeee we hukuipata pole sana ila ikafungwaaa fasta na mamod si najua manoah mtoto wa Bishanga tycoon la humu ikabidi aingilie kati mtoto wake asiaibike ikafungwa faastaaaa na wala manoah hakuonekanamule teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
ha ha kamiminwa kweupeeee peeee we hukuipata pole sana ila ikafungwaaa fasta na mamod si najua manoah mtoto wa Bishanga tycoon la humu ikabidi aingilie kati mtoto wake asiaibike ikafungwa faastaaaa na wala manoah hakuonekanamule teh teh teh
ha haaa, kazi ipo kwa kweli....
achana na manoah bana...... hujanionea amu sehemu? maana sasa hata ukim-mention jina halitokelezei
 
Last edited by a moderator:
ah ah ah! Raiza mie nakutazama

ha ha kamiminwa kweupeeee peeee we hukuipata pole sana ila ikafungwaaa fasta na mamod si najua manoah mtoto wa Bishanga tycoon la humu ikabidi aingilie kati mtoto wake asiaibike ikafungwa faastaaaa na wala manoah hakuonekanamule teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
mbona yupo dada mkubwa!
mtafute tu utampata!
pole kwa kummisss nikikkutana nae nitamfikishia salamu amu!
nitashukuru sana mdogo wangu.....
ananitia wasi wasi sasa, maana hata ukim-mention hatokei.... nikajua malalamiko yenu a ile siku ndo yamemkimbiza hapa, maana wamama nyie, lol!
 
Back
Top Bottom