Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
- Thread starter
-
- #21
Kawa mkiristo yumo humu nahumu kwenye uzi huu utamkuta ukitumia lenzi yenye lenzi mbinua lakini ukitumia lenzi mbonyeo utahangaika sana
KakaKiiza hebu ntafutie mwanasheria sijui Ruttashobolwa atafaa niingie contract na FP ya kumtafuta amu?
KakaKiiza hebu ntafutie mwabasheria sijui Ruttashobolwa atafaa niingie contract na FP ya kumtafuta amu?
hadi mwanasheria? lol!
hapa una maana kabatizwa?
namsubiri, atakuja tu