Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
- Thread starter
-
- #81
kwa sasa ruksa kuchakachua mdogo wangu......
kwa sasa kila kitu bomba kabisarahaje sasa ukiaminiwa hivi na dadako mkubwa!
nimekujamo dadangu!
nini mbaya?????
au itakuwa kale kasredi kamezaa matundamo!huyu mwali hata mimi nimemmiss sana....
ukimwona mwambie namba yangu ni ile ile haijabadilika
tatizo lako una akili sana!kwa sasa kila kitu bomba kabisa
ha haaaa, mdogo wangu taratibu.......tatizo lako una akili sana!
af kuna muda huwa hutakagi kuzitumia!
kuna maeneo mimi huwa nataka sana utumie hiyo mibreini af unajitia wa juuuuuuzi!
ah!
unaniuziga mimi!
ha haaaa, mdogo wangu taratibu.......
si unajua mambo yetu? always tunasoma kwanza alama za nyakati!!!!!!!
bado nakumbuka mbinu zooooteeeee nilizopewa wakati ule
kumbe ilikuwa kupozwa moyo?juzi mpka ikabidi nikupooze moyo bana!
ah!
mtafute huku https://www.jamiiforums.com/jf-chit...mko-wap-i-snowball-nipo-hapa-makao-makuu.htmlSnowBall si uje sasa!
sa ndo nini kujifichamo hivo!
nimemkuta huko!mtafute huku https://www.jamiiforums.com/jf-chit...mko-wap-i-snowball-nipo-hapa-makao-makuu.html
leo nina appointment naye..... unataka kutujoin?
mi nipo dom kwenye kikao cha makatibu tarafa......nimemkuta huko!
nishamwona!lol!
nilimmisije sasa??
na we unaenda dom??
utanifanyia booking pale pa siku ile????
mi nipo dom kwenye kikao cha makatibu tarafa......
mbunge wetu eti katupa offer tufanyie kikao dom....
kila siku kumpitimbi tulichoka, lol!
poa, kama unataka kutujoin nitakufanyia booking....ahhahahhahahhahaha haya bana!
inawezekana kweli nikawa kilaza namna hii?Kama bado hujampata tuunde kamati!