Serukamba: Serikali iige Rwanda ambako raia wote wana Bima ya afya na wale "wanyonge" wanakatiwa bima na Serikali

Serukamba: Serikali iige Rwanda ambako raia wote wana Bima ya afya na wale "wanyonge" wanakatiwa bima na Serikali

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya Huduma za jamii ameitaka serikali kwenda kujifunza Rwanda ambako raia wote wa nchi hiyo wana Bima za afya.

Serukamba amedai wananchi wanyonge wa Rwanda ambao ni kama 4% ya wananchi wote wanalipiwa bima zao na serikali.

Serukamba amesema hayo wakati akifunga mjadala wa ripoti ya kamati yake.

Kadhalika Serukamba ameitaka serikali kuangalia upya mitaala ya Elimu kwani elimu yetu haimuwezeshi mhitimu kuendena na kasi ya mabadiliko ya teknolojia duniani.

Source TBC!
 
Hii iga iga Rwanda imeifanya Tanzania kuwa nchi ya ovyo sana dunia. Tumekuwa wauaji, watedaji. Ovyo sana kuiga iga magaidi.
 
Kama donor country hatuhitaji kuiga hilo maana wananchi wetu wako njema kifedha/wanaweza kujihudumia gharama za matibabu.

dodge
 
Tumeiga ndege sasa Rwanda Air inanunuliwa na Qatar airways baada ya kula loss. Mkiendelea kuiga badala ya kufikiria ya kwetu tutatumbukia shimoni.
 
Tunaelekea huko, lakini data base ilikuwa inatakiwa kuwepo, for planning and control purposes . Jambo hilo linafanywa sasa hivi na Rita na nida kwa kutoa vyeti vya kuzaliwa na kitambulisho cha taifa.
Na watu wengi zaidi kuwa wazalishaji.
 
Kwenye elimu Serukamba yuko sahihi, hii elimu ya mitihani imepitwa na wakati.

Tunahitaji elimu inyowaandaa wanafunzi kwa maisha na sio kwa mitihani. Huu mfumo wa sasa umepitwa na wakati, hauwapi au hauwawezeshi wahitimu na ujuzi unaohitajika kwenye ulimwengu wa sasa.

Ulimwengu wa sasa hauhitaji tena mtu mwenye divison one ama two, gpa ya 4.5 ama 3.8, unahitaji mtu mwenye ujuzi wa kufanikisha shughuli kufanyika kwa wakati.

Wanaojifanya hawaelewi wataelewa hivi karibuni, ni jambo la muda tu.
 
Huwezi kua msafi jalalani .JAMAA MKWELI HATOBOI 2020
 
Huwezi kua msafi jalalani .JAMAA MKWELI HATOBOI 2020

Magazeti yaliripoti kwamba Serukamba alicheka sana ile siku Ummy Mwalimu aliposema wamefanya utafiti na kugundua Chato iko katikati ya kanda ya Ziwa so watajenga hosp. Kubwa,so mwenyekiti wao wa chama anamcheki tu anasema hiiiiiiiiiiiiiiii nakusubiri anga zangu.

dodge
 
Mbuzi jike hawana lolote wanalolijua.

Tangu tumepata uhuru kuna jambo moja tu wamweza kulifanya kwa uzuri.
Ni TASAF peke yake.
Mengine yoote wanajaribu kuwaiga beberu lakini wamekwama.
Huduma za afya siku hizi si huduma tena, wanafanya biashara ya afya.
Nenda hospitalini mkaone. Ni kweli huduma ni nzuri, tatizo gharama ni kubwa mno!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IPO siku naamini tutafika kwamba kila mtanzania awe na bima hasa kwa wasio na uwezo wazo zuri ila aliwezi tekelezwa kwa haraka hii nikutokana na ukubwa Wa nchi na idadi tuliyonayo na hapo ndo huwa napata shida pale viongozi wanapolinganisha mambo mengine na kijiji kama Rwanda alafu na tz linganisha na nchi angalau tunazokaribia Nazi kwa ukubwa tuone wao swala kama hili wanalitekeleza vipi mfano Kenya,Uganda ,na nchi zingine sio linganisha hicho kijiji sijui hats kama population ya watu mil nne kama inafika tuna fail sana
 
Daah elimu bure ni shida sana aisee.

Population ya Rwanda ni zaidi ya watu mil 12.
IPO siku naamini tutafika kwamba kila mtanzania awe na bima hasa kwa wasio na uwezo wazo zuri ila aliwezi tekelezwa kwa haraka hii nikutokana na ukubwa Wa nchi na idadi tuliyonayo na hapo ndo huwa napata shida pale viongozi wanapolinganisha mambo mengine na kijiji kama Rwanda alafu na tz linganisha na nchi angalau tunazokaribia Nazi kwa ukubwa tuone wao swala kama hili wanalitekeleza vipi mfano Kenya,Uganda ,na nchi zingine sio linganisha hicho kijiji sijui hats kama population ya watu mil nne kama inafika tuna fail sana

dodge
 
Daah elimu bure ni shida sana aisee.

Population ya Rwanda ni zaidi ya watu mil 12.

dodge
Sawa ndo maana nikaja neno sijui sasa hata ingekua mil 14 unalinganishaje na tz ambapo pop ni mara tatu na zaidi iyo ni akili au matope ata kama hukupata elim bure kama mimi na inakusaidia nini kama unashindwa dadavua kitu kidogo kama hiki si bora wakina msukuma waendelee kuwa bungen maana udadavuzi wake ni mara kumi ya nyie ambao hamkusoma shule za bure
 
Sawa ndo maana nikaja neno sijui sasa hata ingekua mil 14 unalinganishaje na tz ambapo pop ni mara tatu na zaidi iyo ni akili au matope ata kama hukupata elim bure kama mimi na inakusaidia nini kama unashindwa dadavua kitu kidogo kama hiki si bora wakina msukuma waendelee kuwa bungen maana udadavuzi wake ni mara kumi ya nyie ambao hamkusoma shule za bure

'Sawa ndo maana nikaja neno sijui'

Sasa kama hujui ulikuja kuchangia nini,si ungetulia tu ukaendelea kuwapikia chai wakina polepole hapo Lumumba.

dodge
 
Back
Top Bottom