......................kwa wale wataalam wa utalii......ni zile biashara zinazo provide ..Ukarimu.....Hospitality......hajakuambia huduma za jamii??????????kwa ni kuna utafauti mkubwa saana.....unachotaka kufanya na maana halisi ya hiyo termNaombeni ushauri. Nina kiwanja changu title deed yake ni service industry. nilikipata kwa mbinde sana baada ya afisa ardhi kunitaka nifafanue service industry gani ntaweka,, kusema hospitali akachomoa,, nikamwambia mashine ya kusaga akakubali,, tatizo ni eneo ambalo bado halijachangamka.. ni service industry gani nyingine naweza kuweka ukiacha mashine ya kusaga au gereji?? ..asanteni
......................kwa wale wataalam wa utalii......ni zile biashara zinazo provide ..Ukarimu.....Hospitality......hajakuambia huduma za jamii??????????kwa ni kuna utafauti mkubwa saana.....unachotaka kufanya na maana halisi ya hiyo term
........................hilo eneo liko karibu na nini........limezukukwa na nitu gani............walipokuambia service industry uliwaelewa wanamaanisha nini?.......tambua kuna tofauti kati ya huduma za jamii na hizo biashara za ukarim........ukinipa picha...eneo liko sehemu gani.....limepakana na nini......majirani zako wanafanya nini......kunabarabara.....ntaweza kukushauri vizuriKwa kweli bado sijajua nipafanyie biashara gani,,, huduma za jamii kama hospitali wamekataa hata gesti house wamekataa,, unaweza kunishauri nijenge kitu gani watakachokubaliana nacho?
........................hilo eneo liko karibu na nini........limezukukwa na nitu gani............walipokuambia service industry uliwaelewa wanamaanisha nini?.......tambua kuna tofauti kati ya huduma za jamii na hizo biashara za ukarim........ukinipa picha...eneo liko sehemu gani.....limepakana na nini......majirani zako wanafanya nini......kunabarabara.....ntaweza kukushauri vizuri