spyboss
Member
- Nov 30, 2015
- 45
- 69
Wakuu habari za mchana.
Serikali yetu inapambana sana kuwaletea wananchi wake maendelea. Naipongeza kwa kazi nziri.
Pamoja na hayo nna jambo ambalo limenifanya niandike uzi huu. Kuna service road zimejengwa ili kusaidia kuingia Magufuli Stendi na Stendi Ndogo ya Daladala Hapa mbezi. Ukiwa unatokea Ubungo utaingia kushoto halafu utafuata hiyo barabara iliyojengwa hadi kuingia stand lkn utagundua kwamba upande wa kushoto mwa hiyo barabara kuna bonde kubwa ambapo watu wako chini wanafanya biashara hususan wale wanaoelekea Msigani au Kinyerezi.
Kuna siku tutapata janga kubwa sana kama ukingo wa maana hautawekwa kuzuia magari iwapo lolote litatokea.
Nawasilisha
Serikali yetu inapambana sana kuwaletea wananchi wake maendelea. Naipongeza kwa kazi nziri.
Pamoja na hayo nna jambo ambalo limenifanya niandike uzi huu. Kuna service road zimejengwa ili kusaidia kuingia Magufuli Stendi na Stendi Ndogo ya Daladala Hapa mbezi. Ukiwa unatokea Ubungo utaingia kushoto halafu utafuata hiyo barabara iliyojengwa hadi kuingia stand lkn utagundua kwamba upande wa kushoto mwa hiyo barabara kuna bonde kubwa ambapo watu wako chini wanafanya biashara hususan wale wanaoelekea Msigani au Kinyerezi.
Kuna siku tutapata janga kubwa sana kama ukingo wa maana hautawekwa kuzuia magari iwapo lolote litatokea.
Nawasilisha