WanakutumiaNipo mwanza
Nimejifunza kitu [emoji1545]Hakikisha product unazotumia Zina
Salicylic acid
Glycolic na lactic acid ukipata product zenye vismbata hivo zinasaidia sababu zinasaidia kuyeyusha mafuta usoni mfano pixi toner
Usichanganye utakuwa mweupe. Serum ni ya kwenye cream tu. Mimi serum moja natumia makopo matatu siweki yoteOoooh kumbe! Mi usoni napaka kale kausoni. Ukichukua set kuna ya usoni pekee na ya mwilini pekeake. Basi ya mwilini napaka mwilini na ya usoni napaka usoni tu. Vitu vya cocoa vinanitoaga chunusi na lile kopo kubwa lina cocoa.
labda nikuulize naweza kuchanganya serum kwenye kale kadude ka usoni?
Goldie huwa inauzwa sh.ngp, ni lotion nzuri kwa ngozi?Weusi kwapani tumia goldie
wadau nimejibana atimae nimejinunulia zawadi ya set ya WIX pamoja na scrub. Ningependa kujua kama kuna wadau wengine humu wanatumia wix je kuna kitu niongezee ili niwe msupuu zaidi[emoji3059]
Napenda sana kubakia natural. Mnishauri pia vitu vinavyotoa weusi kwapani na ikulu[emoji1751]
Nawasilisha.View attachment 2673076
Bei nategemea na unaponunulia, goldie inachubua(wenyewe wanasema kunga'arisha)Goldie huwa inauzwa sh.ngp, ni lotion nzuri kwa ngozi?
Yaani uso wangu ni maji ya kunde, una mafuta pia, nimegundua pia ngozi yangu haitaki vipodozi vikali. Goldie haitonifaa, right?Bei nategemea na unaponunulia, goldie (wenyewe wanasema kunga'arisha)
Naona vile wadada wa jf wanapeana ujuzi wa kutafuta mng'ao, sio wale wa mtaani kwetu wanapenda kutumia 'Body lux lotion'.
Maana nimetumia mpaka QUEEN ELIZABETH lakini imenikataa, inaweka weusi chini ya macho.Bei nategemea na unaponunulia, goldie inachubua(wenyewe wanasema kunga'arisha)
Haitakufaa kama ngozi yako ina mafuta tafuta face cream zenye lemon huwa zinapunguza mafutaYaani uso wangu ni maji ya kunde, una mafuta pia, nimegundua pia ngozi yangu haitaki vipodozi vikali. Goldie haitonifaa, right?
Jaribu the originals ile ya butterMaana nimetumia mpaka QUEEN ELIZABETH lakini imenikataa, inaweka weusi chini ya macho.
Though haina mafuta sanaa, nimejaribu ambazo zina lemon pia lakini natoka vipele jamaniš©Haitakufaa kama ngozi yako ina mafuta tafuta face cream zenye lemon huwa zinapunguza mafuta
Jitahidi ukinunua face cream nunua na sabuni yake......sabuni nzuri zipo nyingi mfano kojic, gentlemagic, mena n.k zipo nyingi za kutoa vipeleThough haina mafuta sanaa, nimejaribu ambazo zina lemon pia lakini natoka vipele jamani[emoji30]
Mena ndio natumia sasa hivi ya Lemon lakini wapi labda nijaribu hizo nyengine.Jitahidi ukinunua face cream nunua na sabuni yake......sabuni nzuri zipo nyingi mfano kojic, gentlemagic, mena n.k zipo nyingi za kutoa vipele
Basi tafuta kojic soup OG itatoa vipeleMena ndio natumia sasa hivi ya Lemon lakini wapi labda nijaribu hizo nyengine.
Inauzwaje?Basi tafuta kojic soup OG itatoa vipele
Haizidi 10kInauzwaje?