Set nzima ya WIX

Set nzima ya WIX

Ooooh kumbe! Mi usoni napaka kale kausoni. Ukichukua set kuna ya usoni pekee na ya mwilini pekeake. Basi ya mwilini napaka mwilini na ya usoni napaka usoni tu. Vitu vya cocoa vinanitoaga chunusi na lile kopo kubwa lina cocoa.
labda nikuulize naweza kuchanganya serum kwenye kale kadude ka usoni?
Usichanganye utakuwa mweupe. Serum ni ya kwenye cream tu. Mimi serum moja natumia makopo matatu siweki yote
 
wadau nimejibana atimae nimejinunulia zawadi ya set ya WIX pamoja na scrub. Ningependa kujua kama kuna wadau wengine humu wanatumia wix je kuna kitu niongezee ili niwe msupuu zaidi[emoji3059]

Napenda sana kubakia natural. Mnishauri pia vitu vinavyotoa weusi kwapani na ikulu[emoji1751]

Nawasilisha.View attachment 2673076

Ungeuliza hayo maswali kabla ya kununua. Nani alikushauri ununue?
 
Naona vile wadada wa jf wanapeana ujuzi wa kutafuta mng'ao, sio wale wa mtaani kwetu wanapenda kutumia 'Body lux lotion'.
Bei nategemea na unaponunulia, goldie inachubua(wenyewe wanasema kunga'arisha)
Maana nimetumia mpaka QUEEN ELIZABETH lakini imenikataa, inaweka weusi chini ya macho.
 
Though haina mafuta sanaa, nimejaribu ambazo zina lemon pia lakini natoka vipele jamani[emoji30]
Jitahidi ukinunua face cream nunua na sabuni yake......sabuni nzuri zipo nyingi mfano kojic, gentlemagic, mena n.k zipo nyingi za kutoa vipele
 
Back
Top Bottom