Yaani Malecturer wa aina hii, kama Wanafunzi wa Tanzania hawatakuwa na umoja wataendelea kuwasumbua miaka nenda, miaka rudi, Wanafunzi ndani ya Chuo au wa same course wanatakiwa wawe na Umoja na wadeal na watu kama hao, that girl inatakiwa yeye na wenzake au yeye binafsi kama anaweza amuwekee mtego huyo Mbaba, awe na ushahidi wa kutosha, sauti iliyorekodiwa, photos, video, sms, email etc, kisha avitumie au wanafunzi wa hiyo course wavitumie kumtimulisha kazi huyo mtu, hafai, akitimuliwa kama vyuo viwili hivi, ataapunguza tabia yake kama sio kuacha kabisa tabia hiyo, yaani aaibishwe kitaifa na kimataifa, picha, video zake akiongea utumbo wake virushwe kwenye Internet, aaibike mpaka kwa watoto wadogo mtaani kwake, wasiogopewe watu hawa, waaibishwe kwenye vyombo vya habari, internet na watu, wanafunzi, taasisi mbalimbali zinazopambana na unyanyasaji wa kijinsia Tanzania washikilie Bango na wahakikishe Serikali inamfungia kufanya kazi hiyo na kumuadhibu, yaani wakome, Vyuo sio Madanguro, kama wao hawawezi kufundisha bila kulazimisha wapewa na vingine visivyohusiana na masomo, wafanye ishu nyingine, waache wenye nia ya kweli ya kuelimisha Taifa waendelee kufundisha vizazi vipya vya Tanzania, sio kuwaangamiza kwa Ukimwi, badala ya kuwaenezea elimu na kuwapa uwezo wa kutafakari mambo vizuri Tanzania mpya, wanataka kuwapa virusi vyao, embu tujaribu kujali Taifa letu jamani, tuwajali watu wengine ili waendeleze Taifa
get him on tape and sue his @$$. people who take advantage of others make me so mad!! :A S angry::A S angry::A S angry: